Mahmoud bin Zubeiry,yuko wapi?

Mahmoud bin Zubeiry,yuko wapi?

fimboyaukwaju

JF-Expert Member
Joined
Aug 3, 2020
Posts
6,535
Reaction score
8,982
Simuoni siku hizi kwenye vipindi vya michezo vya Azam.

Kuna mtu anajua alipo?
 
Aisee ana kumbukumbu yule Baba,
Wachezaji wote wa miaka ya 1990's hadi 2000's anawajua kichwani.

Aliwahi kutupangia lineups za Tukuyu stars, Reli, coastal, Nyota Nyekundu, CDA Za wakati ule...anajua fulani sasa yupo wapi, fulani alishafariki hadi veterans anaowahoji wanamshangaa..

Ana masimulizi mengi mazuri ambayo hayapo documented popote na huwezi kuyakuta Internet....
Waswahili Tujifunzeni ku-document taarifa zetu....huyu akifa leo, anakufa na maktaba yake.
 
Back
Top Bottom