Mahitaji ya kuanzia ku- build Workstation

Mahitaji ya kuanzia ku- build Workstation

Joined
Nov 2, 2023
Posts
88
Reaction score
264
Naomba msaada please Bwana Mdogo anahitaji kubuild workstation but budget ya kuanzia anasema ana tsh 500,000. But kila after two weeks atakuwa anapata tsh 500,000. Je aanze na nini kwa hii tsh 500,000 ya kwanza.

Msaada kwa wataalamu. Akina Mwl.RCT Chief-Mkwawa na wengineo please

Screenshot_2026-02-24-16-43-03-090_com.whatsapp~3.jpg
 
Naomba msaada please Bwana Mdogo anahitaji kubuild workstation but budget ya kuanzia anasema ana tsh 500,000. But kila after two weeks atakuwa anapata tsh 500,000. Je aanze na nini kwa hii tsh 500,000 ya kwanza.

Msaada kwa wataalamu. Akina Mwl.RCT Chief-Mkwawa na wengineo please

View attachment 3548110
Siku hizi ram zina bei Sana huko Duniani, hio laki 5 anaweza hata ram hio 32GB asipate. Ila kibongo bongo desktop mtumba bado bei ipo vizuri.

Ushauri wangu tafuta workstation hapa hapa bongo za kina HP Na dell, ukipata workstation za Xeon itakua Mali Sana za karibuni ila hata hizi consumer Cpu ni Sawa, cha muhimu ni kutafuta desktop ambayo in power supply kubwa ili isikulimit kwenye GPU.

Dell Vostro za hio gen ya 10 rahisi kupata mtaani sometime chini ya laki 3, sema PSU itabidi ubadili mwenyewe.

Dell precision 3630 niliwahi ziona, hizi ni full workstation, zinakubali Xeon, ni gen ya 8 Ila zisikupe shida Sana sababu kuna Xeon equivalent ya i9 9900 ambazo zina nguvu kuliko gen ya 10 i7. Bei zake ni kwenye laki 3 Hadi 4.

Option nyengine ni kununulia Kenya hizo Ryzen, naona HP pro desk zenye PSU 400W na Ryzen 2600/2700/3600 around laki 4 ya kibongo, hio PSU haikubali GPU kubwa ila Rtx xx60 series zinakaa bila shida ama hio gtx 1660.
 
Ukikosa kabisa kabisa kuna workstation za Gen ya 4 za Xeon zina Core Hadi 20+ na baadhi ya CPU zinakubali overclock, perfomance wise sio inferior to 10th gen na bei ni rahisi hasa vile zinatumia ECC ram.

Issue kubwa ya hizi machine ni ulaji umeme, tunaongelea zaidi ya watts 400, kama ni mtumiaji Sana wa pc na inakaa on 24/7 inaku cost ila kama unawasha Tu ukiwa na KAZI then unazima unakaa siku kadhaa hutumii pc sio mbaya.

Unapata hizi machina 300-400 mtaani, kama HP Z440.
 
Siku hizi ram zina bei Sana huko Duniani, hio laki 5 anaweza hata ram hio 32GB asipate. Ila kibongo bongo desktop mtumba bado bei ipo vizuri.

Ushauri wangu tafuta workstation hapa hapa bongo za kina HP Na dell, ukipata workstation za Xeon itakua Mali Sana za karibuni ila hata hizi consumer Cpu ni Sawa, cha muhimu ni kutafuta desktop ambayo in power supply kubwa ili isikulimit kwenye GPU.

Dell Vostro za hio gen ya 10 rahisi kupata mtaani sometime chini ya laki 3, sema PSU itabidi ubadili mwenyewe.

Dell precision 3630 niliwahi ziona, hizi ni full workstation, zinakubali Xeon, ni gen ya 8 Ila zisikupe shida Sana sababu kuna Xeon equivalent ya i9 9900 ambazo zina nguvu kuliko gen ya 10 i7. Bei zake ni kwenye laki 3 Hadi 4.

Option nyengine ni kununulia Kenya hizo Ryzen, naona HP pro desk zenye PSU 400W na Ryzen 2600/2700/3600 around laki 4 ya kibongo, hio PSU haikubali GPU kubwa ila Rtx xx60 series zinakaa bila shida ama hio gtx 1660.

Chief kwa nini usiwe na duka la mambk kama haya? Maana ingekuwa rahisi sana watu kuja kwako kwa sababu unajua mambo na unatoa ushauri bila hiyana. Hujawahi kuwa mchoyo wa Elimu.
 
Siku hizi ram zina bei Sana huko Duniani, hio laki 5 anaweza hata ram hio 32GB asipate. Ila kibongo bongo desktop mtumba bado bei ipo vizuri.

Ushauri wangu tafuta workstation hapa hapa bongo za kina HP Na dell, ukipata workstation za Xeon itakua Mali Sana za karibuni ila hata hizi consumer Cpu ni Sawa, cha muhimu ni kutafuta desktop ambayo in power supply kubwa ili isikulimit kwenye GPU.

Dell Vostro za hio gen ya 10 rahisi kupata mtaani sometime chini ya laki 3, sema PSU itabidi ubadili mwenyewe.

Dell precision 3630 niliwahi ziona, hizi ni full workstation, zinakubali Xeon, ni gen ya 8 Ila zisikupe shida Sana sababu kuna Xeon equivalent ya i9 9900 ambazo zina nguvu kuliko gen ya 10 i7. Bei zake ni kwenye laki 3 Hadi 4.

Option nyengine ni kununulia Kenya hizo Ryzen, naona HP pro desk zenye PSU 400W na Ryzen 2600/2700/3600 around laki 4 ya kibongo, hio PSU haikubali GPU kubwa ila Rtx xx60 series zinakaa bila shida ama hio gtx 1660.
Kwa Dar kuna duka au maduka unaweza pendekeza?
 
Back
Top Bottom