Ungetangaza msikitini ingekuwa poa maana kina kigezo cha dini hapo
una akili sn ww utazan kwenye shule za saints waislam hawasomi hawa jamaa wanaubaguz sn
Ungetangaza msikitini ingekuwa poa maana kina kigezo cha dini hapo
Habari wana jf.
Tunamahitajio ya:
1.Secretary
nafasi Nne.
Sifa:
Awe msichana,umri usipugue miaka 19.
Awe anajua vizuri kingereza,awe na typing speed.
Awe muislam.
Eneo la kazi ni shule za kiislam ziko tabata na kinyerezi.
2.Matron
Nafasi tatu.
Sifa:
Awe na umri usiopungua miaka 20.
Awe muislamu mwenye maadili mema ya dini.
Awe tayari kukaa shuleni.
Eneo la kazi shule ziko Tabata sanene na kinyerez mwisho.
Maombi na interview zinafanywa na Teachers' junction magomeni mapipa.
Mwombaji anatakiwa anatakiwa kuja na:
Cv.
Copy za vyeti
Passpot size mbili.
Form za usaili ni 15, 000/=tsh
Hakuna ------ mengine yoyote baada ya kazi.
Intervw na mafunzo ya kukumbusha kabla ya kwenda eneo la kazi ni buree.
Mwisho wa kupokea maombi ni jumaa tano asubuh 14/05/2014.
Ambapo mafunzo yatafanyika saa mbil asbh hadi nane mchana.
Nb.
Hatupokea tena maombi yatakayokuja siku ya mwisho zaid ya saa nne asubh.
0753-810857.
Tanganyika ni zaidi unvyoifahamu mkuu, tunasubiri kodi za watembea kwa miguu tu huko mjini...!!!!!Hii kali asee
Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
"form ya usaili mkuuu"15,000/- ??? ya nini?
hayo mambo pande zote hutokeaga bhana kene baadhi ya taasisi za kidini, unakumbuka tangazo la kazi la vision fund tanzania?kulikuwa na kitu hiki "Only committed christian must apply " so hayo ni matakwa yao bhana kama TPDC Upper 2nd and 1st Class only needed.una akili sn ww utazan kwenye shule za saints waislam hawasomi hawa jamaa wanaubaguz sn
"form ya usaili mkuuu"
acheni upuuzi matapeli wakubwa nyie interview with money
Usaili unalipiwa!!
una akili sn ww utazan kwenye shule za saints waislam hawasomi hawa jamaa wanaubaguz sn
Habari wana jf.
Tunamahitajio ya:
1.Secretary
nafasi Nne.
Sifa:
Awe msichana,umri usipugue miaka 19.
Awe anajua vizuri kingereza,awe na typing speed.
Awe muislam.
Eneo la kazi ni shule za kiislam ziko tabata na kinyerezi.
2.Matron
Nafasi tatu.
Sifa:
Awe na umri usiopungua miaka 20.
Awe muislamu mwenye maadili mema ya dini.
Awe tayari kukaa shuleni.
Eneo la kazi shule ziko Tabata sanene na kinyerez mwisho.
Maombi na interview zinafanywa na Teachers' junction magomeni mapipa.
Mwombaji anatakiwa anatakiwa kuja na:
Cv.
Copy za vyeti
Passpot size mbili.
Form za usaili ni 15, 000/=tsh
Hakuna ------ mengine yoyote baada ya kazi.
Intervw na mafunzo ya kukumbusha kabla ya kwenda eneo la kazi ni buree.
Mwisho wa kupokea maombi ni jumaa tano asubuh 14/05/2014.
Ambapo mafunzo yatafanyika saa mbil asbh hadi nane mchana.
Nb.
Hatupokea tena maombi yatakayokuja siku ya mwisho zaid ya saa nne asubh.
0753-810857.