Amani mfaume
JF-Expert Member
- Dec 13, 2016
- 3,298
- 1,435
- Thread starter
- #61
Sina labda mwezi ujaoStar x huna?
Sina labda mwezi ujaoStar x huna?
Vipi washing mashine zipo. Maelezo yake kidogo kuhusu size na utendaji wake pia ni washing and drying. Bei zake pia zikoje
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji115] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] akikujibu nistue na mimiMna Ugali Cooker?
ndgu naomba picha ya icecream machine na price zake
Hii njia 3ndgu naomba picha ya icecream machine na price zake
Sorry ni 2050000![]()
Hii njia moja 250000
Njia 2 ndio bei hy .sorryHii njia 3
Price 3050000
Yapo nime yapostVp mna mafriji?
Ntakucheki basi, kwani atakuwa mujini Kwa siku kadhaa.Sina labda mwezi ujao
Hii meza nimeipenda ila nina watoto wadogo wa miaka 3 na 4 wataibakiza salama?price 200000/=![]()
Mob 0672851415
Tupo Kariakoo msimbazi Azania BENKI
Mikoani tunatuma pia
Machine ya 10kg napata?hiii mkuu unaweka nguo zote maji yakutosha na sabuni yakutosha inachanganya yenyewe inanyonya maji na inamwaga pia mara y pili inasafisha pia we unatoa nguo nakuzipasi to![]()
Price 690000
Ni Pm tafadhali
Ndio n milion moja na laki mojaMachine ya 10kg napata?
Zipo mkuu nakutumiaHii meza nimeipenda ila nina watoto wadogo wa miaka 3 na 4 wataibakiza salama?
Kama unanyingine ikawa salama kwa watoto niwekee picha..
Hii meza nimeipenda ila nina watoto wadogo wa miaka 3 na 4 wataibakiza salama?
Kama unanyingine ikawa salama kwa watoto niwekee picha..
Hii meza nimeipenda ila nina watoto wadogo wa miaka 3 na 4 wataibakiza salama?
Kama unanyingine ikawa salama kwa watoto niwekee picha..