u r very, right!Ni 'mahari' au?
labda ungeelezea kizaazaa chenyewe hata juu juu tu ili tujue nini cha kujadili
jamaa yangu kaambiwa apeleke milion 5 ili amuoe binti yao na jamaa ndo kwanza kapata kazi(bank teller) wazazi hawataki kulipwa nusu nusu.Jamaa amekasirika hadi kufikia kutaka kuamua kuvunja uhusiano.
Hao wako kibiashara zaidi.
Kama matatizo yanaanzia kwenye mahari tu, wakwe wakitaka kupelekwa shopping Dubai itakuwaje?
Vijana tukikataa kuoa mnatushangaa.
Tafuta binti wa Kizaramo, utapewa vikorokoro viiingi vya kutoa kwa babu, bibi, shangazi, mama, baba, hesabu yake vyote na mahari hata laki tano havifiki.
Ila uwe tayari kwa ngoma kila mwezi kama unaoa kigori typical.
jamaa yangu kaambiwa apeleke milion 5 ili amuoe binti yao na jamaa ndo kwanza kapata kazi(bank teller) wazazi hawataki kulipwa nusu nusu.Jamaa amekasirika hadi kufikia kutaka kuamua kuvunja uhusiano.
Ni 'mahari' au?
Wakwe ni WACHAGA anasema wanahisi anapata mshahara mkubwa kisa anafanya kazi bank
huyo dada ana uzuri gani au mwenzetu ana kitu special ambacho wengine hatuna mpaka wazazi wanadai mahari yote hiyo!
Hivi mahari ina maana gani? Ina muhimu gani? Na je kiwango chake kinategemea kigezo gani? Na je imeanza lini kihistoria? Jamani hebu tulijadili hili swala maana linaelekea kuvunja mahusiano ya watu fulani.
[FONT=times new
roman]Kama kweli yupo serious apeleke "mkia wa Simba".
"Mkia wa Simba" ni MTU ANAYEHESHIMIKA KATIKA FAMILIA...ambaye
atazungumza kwa niaba ya Familia...
Huo ni mtihani mdogo sana...katika mchakato mzima wa kutafuta mwenza,
provided hutaki "shortcut".
MKE ANATOKA MBALI KAKA!!!
[/FONT]
Wengi wetu tunachukuana tu..ukizingatia na
zama hizi no maadili...basi FUJO
NAUNGA MKONO APPROACH YA HAO WAKWE....MILIONI TANO UNAWEZA TAFUTA.....
WENGINE WANADAI NGOZO YA CHUI kama unaakili ndogo utabaki UNALALAMIKA.
MAMBO HAYA YANATAKA CONSULTATION KWA "WATU WENYE KUYAJUA"
Hao wazazi wanatamaa tu na si kingine..
Nijuavyo mimi 'mahari' ni kitu kitolewacho na kijana, kwenda kwa wazazi wa binti aliyempenda,ikiwa ni Kama shukurani kwa hao wazazi.
Mahari si lazima wazazi wa binti waipange maana ni shukurani tu.
Umuhimu wa mahari ni kuonesha uthamani kwa mwenza wako, japo wengine wanafanya mahari kama mtaji au fidia ya matunzo kwa mabinti zao.
Wazazi wa aina hiyo inabidi wabadilike..
Hivi mahari ina maana gani? Ina muhimu gani? Na je kiwango chake kinategemea kigezo gani? Na je imeanza lini kihistoria? Jamani hebu tulijadili hili swala maana linaelekea kuvunja mahusiano ya watu fulani.