You're absolutely right! Na kuna uzi ulianzishwa humu na Jokajeusi anasema solution ni kuoa Bikra tu.Hivi kijana anayeoa unaanzaje kuoa single mother wakati wabichi wamejaa tele unaanzaje kumtambulisha kwenu kwa wazazi, mashangazi wajomba?
Binafsi kuoa mwanamke asiye na bikra nitajiuliza mara mbili mbili sembuse mfupa uliomshinda fisi mimi ndo nitauweza.
Mwanamke aliyezalia nyumbani hana sifa za kuwa mke.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi sishangai dogo wewe si msukuma. Ndiyo mila yenu. Very primitive!Unajikutaga diiiingi kuliko sisi kumbe upuuzi tu.
Kuna koo kama yangu ni fedheha kubwa kwa mtoto wa kiume kuoa janamke liliozalishwa kwingine unatengwa na kwenye matambiko huendi na ndugu hawaji tena kwako.
Can you please pretend to be equal with everyone in this platform?
Nyinyi ndiyo mnfanya dunia iwe ngumu.You're absolutely right! Na kuna uzi ulianzishwa humu na Jokajeusi anasema solution ni kuoa Bikra tu.
Wewe unatokea kanda gani hapa Tanzania?Mara nyingi watu wanasahau kwamba mapenzi ni ya watu wawili. Thamani ya mke au mume haitambuliwi na wazazi, ndugu wala marafiki bali wale waliokuwepo kwenye uhusiano.
What? Yani mahari ya mwanamke Bikra au asiye na mtoto hata kama ka-abort mara elfu 50 iwe sawa na aliyeenda leba?Kwahio kiwango cha mahali ya single mum, haina tofauti na mwanamke yoyote yule kwani vigezo vya mahali viko vingi na kuwa na mtoto sio moja wapo. Huyo binadamu sio gari. Mahali ni utamaduni tu.
I asked you DINGI can you please act like you're equal with us?Nyinyi ndiyo mnfanya dunia iwe ngumu.
Mawazo ya kijima.
Kijana mdogo una uphold mawazo ya kijima.
Unajikutaga diiiingi kuliko sisi kumbe upuuzi tu.
Kuna koo kama yangu ni fedheha kubwa kwa mtoto wa kiume kuoa janamke liliozalishwa kwingine unatengwa na kwenye matambiko huendi na ndugu hawaji tena kwako.
Can you please pretend to be equal with everyone in this platform?
Are we ndugu bro?π....................Mimi siwezi kuwa na laana nimezaliwa na mama aliyejitunza hadi kwenye ndoa laana unayo wewe single mama uliyezaa hovyo kisha akitokea domo zege wa kukuonea huruma mnajikusanya familia nzima mna-discuss mahari apigwe bei gani as if anaowa bikra,tena kama mimi mkisema hata 80,000/= tu naondoka sitakuwa na muda wa kupatana.
Hapo juu kwenye namba nimemaanisha elfu themanini usije ukapasoma kama laki nane.
Sent from my Redmi Note 5 using Tapatalk
Wewe unatokea kanda gani hapa Tanzania?
Mimi natokea Kanda ya ziwa mwanamke ana play role kubwa sana kwa wazazi wa mtoto wa kiume yani huwezi kuoa bambasi wakakuelewa.
Mama yangu mimi pamoja na uzee wake huwa anatusihi sana sisi ambao hatujaowa kutafuta mwanamke Bikra mabambasi tupitie tu, yeye aliolewa na usichana wake and why I'm very proud of her also my older sister she was married virgin sisi ni wasukuma mixer usomali wa kisingida.
What? Yani mahari ya mwanamke Bikra au asiye na mtoto hata kama ka-abort mara elfu 50 iwe sawa na aliyeenda leba?
Kwa hiyo wewe Dingi uliowa bambasi?Mimi sishangai dogo wewe si msukuma. Ndiyo mila yenu. Very primitive!
Rutagwerera Sr huyu ni mhaya kule mimi nimefanya kazi 2012 watoto wale hawana maadili kabisa yani binti wa miaka 12 mpaka nimlazimishe anipe shikamoo kuuumbe ameshaijua dudu nikaanzaga kujiona kumbe mimi fala eee maana wanaowatumia ni watu wa rika langu just imagine it was 2012Kwanza kwa kanda ya ziwa kijana kuoa asiye bikra unajiuliza mara mbili mbili uoe au usioe sembuse kuoa bambasi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Uko sahihi kabisa lakinii tutarudi palepale katokea kwenye familia ya namna gani?Mapenzi hayachagui,mwanamke kuwa single mom kuna sababu nyingi sana,tusiwahukumu sana na kuwaona dhambi yao nikubwa kiasi hiki...........tuache hii tabia maana chanzo ni sisi wanaume,mtoto wa watu anakuamini anakuvulia nguo kumbe wewe unataka tu kupunguza shida zako wakati mwenzio yupo serious.Tuwaache kwakweli maana chanzo ni male.......
Umenichekesha sana ππππKwa hiyo wewe Dingi uliowa bambasi?
Usukumani tunakuroga ufe ututolee hiko kisanga
Ungeoa huyohuyo unategemea nani aoe Bomboya hilo?Umenichekesha sana ππππ
Anyway, si dhambi kutofautiana mitazamo.
Ila tuache kuwasema hawa single mothers si vema.
Nakupa mfano wangu, mimi nilimtia mimba binti wa watu na kusema ukweli ni mimi kisababishi - hakua tayari. Wanaume tuna nguvu kubwa ya ulaghai na ushawishi.
Hatakama vijana balehe zinawasumbua Ila ndio ukweliwengi wanaocoment ujinga about single mum ni vijana wa 2000+
wao nikubwatuka hawana wanalojua balehe inawaendesha.
Mpe hi mwanetu pleaseNi single Mum Mkuu, una swali lingine?