Kamanda, hiyo mi sishangai,hii ni mara ya nne kusikia mahari hii na watu kulalamika.Kwa mfano dini yetu(Muslim) mtoto wa kike ndio anayetaja mahari, na mahari hutaja yeye kwa sababu ndio anayeolewa na kufahamu kipato cha mumewe mtarajiwa.
Kwahiyo kama binti ndio ametaja na mume mtarajiwa amekubal hakuna shida na ile inakuwa ni zawadi kwa mke,ila kama ni wazazi wamesema hiyo Mahari,duuuh wanauza mtoto hapo na kufidia ada walzomsomeshea.