Hamidu Mindu
Member
- Apr 14, 2017
- 38
- 27
MAHARAGE MEKUNDU NA ROSECOCO (KOMBAT) yanauzwa kuanzia 100KG na kuendelea. Maharage yamesafishwa na yamepakiwa kwenye viroba vya 25kg. Ghala liko tabata, Dar es salaam, bei kwa kilo tsh.1450 . Mikoani utatumiwa kwa gharama zako.
0652601602
0652601602