toplemon
JF-Expert Member
- Mar 26, 2017
- 4,607
- 4,766
Wakuu kuna hili jambo linanitatiza sana jee ni kweli kwamba maharage ya njano ni GMO?
Maana nimesikia watu wakisema hivyo na kudai haya maharage hayakuwapo kabla
Wengine wanadai yanaleta sukari na cancer
Jee ni kweli kuwa maharage ya njano ni GMO?
Maana nimesikia watu wakisema hivyo na kudai haya maharage hayakuwapo kabla
Wengine wanadai yanaleta sukari na cancer
Jee ni kweli kuwa maharage ya njano ni GMO?