KalamuTena
JF-Expert Member
- Jul 7, 2018
- 13,181
- 17,179
Mbona unajipoteza mwenyewe mkuu.Ni kweli nimetoa tatizo
Kwenye hiyo teuzi umeona kuna mtaalamu
yeyote wa mambo ya umeme?
Tanesco ana mshindani gani kibiashara?
Wamefanya kipi "tangible" nionyeshe?
Tuache unaaa kwenye mambo ya Msingi!
Shukrani
Unasema "Tatizo Board", katika yote uliyolalamikia hapa sioni "Board" mahala popote!
Ukitaka tujadili kipengele kwa kipengele kwa hayo uliyoweka tutajadili hata bila kugusa "Board".