Maharage Chande, Anza na hili huko TTCL

Maharage Chande, Anza na hili huko TTCL

MTAZAMO

Platinum Member
Joined
Feb 8, 2011
Posts
19,993
Reaction score
34,867
Bwana Chande,

Kwanza nikupongeze kwa kuhamishiwa TTCL. Kwangu naamini mama kapiga pasi ya kisigino kwa hatua hii ikiwemo ya kumpeleka Biteko nishati na kumteua Meja Jenerali kuwa mwenyekiti bodi ya Tanesco. Sasa naamini mama amepata washauri makini na pengine tukaona mwelekeo mpya kwenye sakata la bandari.

Mpambanaji Chande huko TTCL biashara ni kama imekufa na wameshindwa kabisa kuwa washindani kwenye maeneo ambayo wana competitive advantages. Mfano kwasasa focus yao kubwa ipo kwenye Internet connections ingawa pia wanasuasua.

Landline connection ni kama imekufa na ukiomba huduma hupewi attention kabisa hata maeneo ambayo miundombinu bado ipo. Fatilia request za landline connection jinsi zinavyofanyiwa kazi ubadili uelekeo wake.

Gharama za Internet bado ni kubwa sana, inawezekana kabisa TTCL kuleta mapinduzi kwenye eneo hili na kuwa shirika la mfano barani Afrika. Anzisha kitengo cha utafiti ( business research) na kujaza wataalamu ikibidi hata diaspora.

Naamini unakwenda kuifanyia mapinduzi TTCL na usikatishwe tamaa na wanaokubeza kwa mwenendo wa hali ya umeme ambayo binafsi naamini hukuwa mtu sahihi kwenye eneo hilo ila huku TTCL ndio muda wako wa Taifa kula matunda ya ujuzi wako.
 
Bwana Chande,

Kwanza nikupongeze kwa kuhamishiwa TTCL. Kwangu naamini mama kapiga pasi ya kisigino kwa hatua hii ikiwemo ya kumpeleka Biteko nishati na kumteua Meja Jenerali kuwa mwenyekiti bodi ya Tanesco. Sasa naamini mama amepata washauri makini na pengine tukaona mwelekeo mpya kwenye sakata la bandari.

Mpambanaji Chande huko TTCL biashara ni kama imekufa na wameshindwa kabisa kuwa washindani kwenye maeneo ambayo wana competitive advantages. Mfano kwasasa focus yao kubwa ipo kwenye Internet connections ingawa pia wanasuasua.

Landline connection ni kama imekufa na ukiomba huduma hupewi attention kabisa hata maeneo ambayo miundombinu bado ipo. Fatilia request za landline connection jinsi zinavyofanyiwa kazi ubadili uelekeo wake.

Gharama za Internet bado ni kubwa sana, inawezekana kabisa TTCL kuleta mapinduzi kwenye eneo hili na kuwa shirika la mfano barani Afrika. Anzisha kitengo cha utafiti ( business research) na kujaza wataalamu ikibidi hata diaspora.

Naamini unakwenda kuifanyia mapinduzi TTCL na usikatishwe tamaa na wanaokubeza kwa mwenendo wa hali ya umeme ambayo binafsi naamini hukuwa mtu sahihi kwenye eneo hilo ila huku TTCL ndio muda wako wa Taifa kula matunda ya ujuzi wako.
Unampongeza UJINGA tu. Maharage ni failure na huko anakwenda kuitupa kaburini TTCL ambayo ilikuwa mortuary

Hawa Makamba na Maharage wasingekuwa wana connections za wazazi wao basi tungekuwa nao mitaani au wangekuwa wanasota na kujibu hoja za TAKUKURU.

ANYWAY tusubiri CAG report zijazo tutarudi hapa tena
 
Bwana Chande,

Kwanza nikupongeze kwa kuhamishiwa TTCL. Kwangu naamini mama kapiga pasi ya kisigino kwa hatua hii ikiwemo ya kumpeleka Biteko nishati na kumteua Meja Jenerali kuwa mwenyekiti bodi ya Tanesco. Sasa naamini mama amepata washauri makini na pengine tukaona mwelekeo mpya kwenye sakata la bandari.

Mpambanaji Chande huko TTCL biashara ni kama imekufa na wameshindwa kabisa kuwa washindani kwenye maeneo ambayo wana competitive advantages. Mfano kwasasa focus yao kubwa ipo kwenye Internet connections ingawa pia wanasuasua.

Landline connection ni kama imekufa na ukiomba huduma hupewi attention kabisa hata maeneo ambayo miundombinu bado ipo. Fatilia request za landline connection jinsi zinavyofanyiwa kazi ubadili uelekeo wake.

Gharama za Internet bado ni kubwa sana, inawezekana kabisa TTCL kuleta mapinduzi kwenye eneo hili na kuwa shirika la mfano barani Afrika. Anzisha kitengo cha utafiti ( business research) na kujaza wataalamu ikibidi hata diaspora.

Naamini unakwenda kuifanyia mapinduzi TTCL na usikatishwe tamaa na wanaokubeza kwa mwenendo wa hali ya umeme ambayo binafsi naamini hukuwa mtu sahihi kwenye eneo hilo ila huku TTCL ndio muda wako wa Taifa kula matunda ya ujuzi wako.
Mtu huyu anatakiwa kuwa JELA,

Halipo zuri anaweza kuachieve, NAFSI imeshakuwa corrupt!!
 
Maharage chande amejitahidi sana kwenye huduma kwa wateja Tanesco.

Kipindi chake alianzisha utaratibu wa kutumia call centre kueleza shida yako na kupewa namba.

Ambayo haizidi siku tatu tu. Tanesco wanafika nyumbani kwako kutatua tatizo
 
Bwana Chande,

Kwanza nikupongeze kwa kuhamishiwa TTCL. Kwangu naamini mama kapiga pasi ya kisigino kwa hatua hii ikiwemo ya kumpeleka Biteko nishati na kumteua Meja Jenerali kuwa mwenyekiti bodi ya Tanesco. Sasa naamini mama amepata washauri makini na pengine tukaona mwelekeo mpya kwenye sakata la bandari.

Mpambanaji Chande huko TTCL biashara ni kama imekufa na wameshindwa kabisa kuwa washindani kwenye maeneo ambayo wana competitive advantages. Mfano kwasasa focus yao kubwa ipo kwenye Internet connections ingawa pia wanasuasua.

Landline connection ni kama imekufa na ukiomba huduma hupewi attention kabisa hata maeneo ambayo miundombinu bado ipo. Fatilia request za landline connection jinsi zinavyofanyiwa kazi ubadili uelekeo wake.

Gharama za Internet bado ni kubwa sana, inawezekana kabisa TTCL kuleta mapinduzi kwenye eneo hili na kuwa shirika la mfano barani Afrika. Anzisha kitengo cha utafiti ( business research) na kujaza wataalamu ikibidi hata diaspora.

Naamini unakwenda kuifanyia mapinduzi TTCL na usikatishwe tamaa na wanaokubeza kwa mwenendo wa hali ya umeme ambayo binafsi naamini hukuwa mtu sahihi kwenye eneo hilo ila huku TTCL ndio muda wako wa Taifa kula matunda ya ujuzi wako.

Unampongeza au unamsanifu?
 
Maharage chande amejitahidi sana kwenye huduma kwa wateja Tanesco.

Kipindi chake alianzisha utaratibu wa kutumia call centre kueleza shida yako na kupewa namba.

Ambayo haizidi siku tatu tu. Tanesco wanafika nyumbani kwako kutatua tatizo
Nashangaa sana watu wanambeza na kumtukana,jamaa wakiwa na Makamba wamefanya mambo makubwa Tanesco ila kwa kuwa watu wana chuki na visasi vyao wanaamua kuwachafua watu.
 
Wamefanya kipi cha maana??? Acha hizo. Ingekuwa wamefanya la maana mbona wameondolewa wote?? Hahahaaaa

Kuondolewa ama kuhamishwa.

Inawezekana wamehamishwa ili akaibadilishe ttcl kama alivyoibadilisha tanesco.

Hata magufuli akiwa waziri alihamishwa wizara ya ujenzi na kupelekwa uvuvi.

Kuhamishwa kazini ni tofauti na kuondolewa kazini

Maana vyeo vyao ni vile vile vya levo ya juu tu kila wanapohamishiwa
 
Unampongeza UJINGA tu. Maharage ni failure na huko anakwenda kuitupa kaburini TTCL ambayo ilikuwa mortuary

Hawa Makamba na Maharage wasingekuwa wana connections za wazazi wao basi tungekuwa nao mitaani au wangekuwa wanasota na kujibu hoja za TAKUKURU.

ANYWAY tusubiri CAG report zijazo tutarudi hapa tena
Wamefeli kukutia mimba au? 😅😅
 
Kuondolewa ama kuhamishwa.

Inawezekana wamehamishwa ili akaibadilishe ttcl kama alivyoibadilisha tanesco.

Hata magufuli akiwa waziri alihamishwa wizara ya ujenzi na kupelekwa uvuvi.

Kuhamishwa kazini ni tofauti na kuondolewa kazini

Maana vyeo vyao ni vile vile vya levo ya juu tu kila wanapohamishiwa
Tutulie muda utaongea. Tuwe subra
 
Bwana Chande,

Kwanza nikupongeze kwa kuhamishiwa TTCL. Kwangu naamini mama kapiga pasi ya kisigino kwa hatua hii ikiwemo ya kumpeleka Biteko nishati na kumteua Meja Jenerali kuwa mwenyekiti bodi ya Tanesco. Sasa naamini mama amepata washauri makini na pengine tukaona mwelekeo mpya kwenye sakata la bandari.

Mpambanaji Chande huko TTCL biashara ni kama imekufa na wameshindwa kabisa kuwa washindani kwenye maeneo ambayo wana competitive advantages. Mfano kwasasa focus yao kubwa ipo kwenye Internet connections ingawa pia wanasuasua.

Landline connection ni kama imekufa na ukiomba huduma hupewi attention kabisa hata maeneo ambayo miundombinu bado ipo. Fatilia request za landline connection jinsi zinavyofanyiwa kazi ubadili uelekeo wake.

Gharama za Internet bado ni kubwa sana, inawezekana kabisa TTCL kuleta mapinduzi kwenye eneo hili na kuwa shirika la mfano barani Afrika. Anzisha kitengo cha utafiti ( business research) na kujaza wataalamu ikibidi hata diaspora.

Naamini unakwenda kuifanyia mapinduzi TTCL na usikatishwe tamaa na wanaokubeza kwa mwenendo wa hali ya umeme ambayo binafsi naamini hukuwa mtu sahihi kwenye eneo hilo ila huku TTCL ndio muda wako wa Taifa kula matunda ya ujuzi wako.
Hawezi kufanikiwa kwenye internet maana kuna waziri mmoja ana shirikiana na mitandao kutuibia watumia internet .. hii nchi imejaa wezi kila upande.
 
Maharage chande amejitahidi sana kwenye huduma kwa wateja Tanesco.

Kipindi chake alianzisha utaratibu wa kutumia call centre kueleza shida yako na kupewa namba.

Ambayo haizidi siku tatu tu. Tanesco wanafika nyumbani kwako kutatua tatizo
Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni. Maharage Chande ni moja kati ya visionary leader na rekodi zinambeba. Tangu akiw Vodacom,NBC na DSTV. Very unfortunate kwa TANESCO it didn't work that good. Labda alihitaji muda zaidi ila the public outcry ya power outing ilihitaji immediate attention. Jambo ambalo alishindwa nikutokakuwa na mipango ya muda mfupi kati na mrefu ili kuondoa hii shida.
As for TTCL sina mashaka nae..hili ndio eneo lake la umahiri na naamini Serikali inajua hivyo.
Kwa taarifa tu huyu sio kilaza. Ni bright hasa, uliza kote alikosoma tangu sekondari,chuo kikuu na huko alikopita kikazi.
Wishi him all the best kwenye majukumu yake mapya.
 
Back
Top Bottom