Mahali gani nikasome ili nitimize malengo yangu?

Mahali gani nikasome ili nitimize malengo yangu?

Mkwaruu

JF-Expert Member
Joined
Mar 13, 2017
Posts
2,929
Reaction score
1,708
Nafanya kazi tasisi fulani ,sijaajiriwa nafanya kama contract nimefanya nao kwa muda wa miaka mitano hivi. Elimu yangu ni ya Secondary ambaye nilifeli kidato cha nne yaani sikupata Certificate (Ziro).

Kazi ninayofanya ninafanya vizuri kwani Management inakubali utendaji wangu. Naomba kujua ni Chuo gani nawezakupata kozi ya Teller kwani nikipata hii kozi nirahisi kwangu kupata ajira ya kuajiriwa. Nilishawahi kuvolunteer hii kazi kwa sasa ninachohitaji ni kupata chuo niweze kusomea hii kozi.

Naomba Msaada wenu ndugu zangu. Asanteni Sana.
 
Kasafishe cheti kwanza mkuu utapata chuo chuo kizur zaid
 
Mku kwa hiyo itanibidi nirudie mtihani wa Secondary
 
Ni PM twende sawa ila kurudia mtihani muhimu ila maujanja nitakupa, kuna online course nyingi sana zitakufikisha mbali na utasoma huku ukifanya kazi
 
Chuo cha kilimo,Ujue namna ya kulima kisasa,Unaokota Condom zilizotumika na kuzitumia kuweka udongo na kupanda mboga mboga
 
Nafanya kazi tasisi fulani ,sijaajiriwa nafanya kama contract nimefanya nao kwa muda wa miaka mitano hivi. Elimu yangu ni ya Secondary ambaye nilifeli kidato cha nne yaani sikupata Certificate (Ziro).

Kazi ninayofanya ninafanya vizuri kwani Management inakubali utendaji wangu. Naomba kujua ni Chuo gani nawezakupata kozi ya Teller kwani nikipata hii kozi nirahisi kwangu kupata ajira ya kuajiriwa. Nilishawahi kuvolunteer hii kazi kwa sasa ninachohitaji ni kupata chuo niweze kusomea hii kozi.

Naomba Msaada wenu ndugu zangu. Asanteni Sana.
Uteller hausomewi bali hupatikana kwa uzoefu tu
 
Asanta Sana. Kwa hiyo ni Mimi tuu nianze kuomba nafasi kwani kama nilivyoelezea yakuwa niliwahi kuvolunteer. Kwa uzoefu ninao mku
 
Ni PM twende sawa ila kurudia mtihani muhimu ila maujanja nitakupa, kuna online course nyingi sana zitakufikisha mbali na utasoma huku ukifanya kazi
Mkuu me pia nahitaj hayo maujanja kwasababu namalengo yakurudia mtihan mwakan
 
Ndugu zangu Mimi ninaomba msaada wa kujulishwa kwani jukwaa hili linasaidia wengi.Kwa tuache makuzi mtu akui mara mbili. Ktk maisha utani tuuweka pembeni
 
Ni PM twende sawa ila kurudia mtihani muhimu ila maujanja nitakupa, kuna online course nyingi sana zitakufikisha mbali na utasoma huku ukifanya kazi
Mkuu na mimi nimependa maujanja ya kozi za online,,, naomba maelekezo
 
Back
Top Bottom