Kuna mambo yalitokea wakati wa mwanzo wa kesi ya Lema na leo hii yametokea kwenye kesi ya Melo.
Kwa Lema ilikuwa hakimu amekubali dhamana na akavunja mahakama kwa muda na watu walitegemea akirudi atoe masharti ya dhamana lakini alipoitisha mahakama tena akawa amefuta kauli yake ya mwanzo.
Leo mshtakiwa mmoja akiwa na mashtaka matatu kila shtaka limesomwa kwa hakimu tofauti.
Inawezekana ni utaratibu wa kimahakama ambao hatuujui lakini ni bora wananchi tuelimishwe kwani watu wenye nia mbaya wanaweza kupotosha jamii na kufanya mahakama isiaminike kwa wananchi.
Nawasilisha ila tuchangie kwa ustaarabu wa hali ya juu.
Kwa Lema ilikuwa hakimu amekubali dhamana na akavunja mahakama kwa muda na watu walitegemea akirudi atoe masharti ya dhamana lakini alipoitisha mahakama tena akawa amefuta kauli yake ya mwanzo.
Leo mshtakiwa mmoja akiwa na mashtaka matatu kila shtaka limesomwa kwa hakimu tofauti.
Inawezekana ni utaratibu wa kimahakama ambao hatuujui lakini ni bora wananchi tuelimishwe kwani watu wenye nia mbaya wanaweza kupotosha jamii na kufanya mahakama isiaminike kwa wananchi.
Nawasilisha ila tuchangie kwa ustaarabu wa hali ya juu.