DOKEZO Mahakama yavunja ndoa ya Davis Mosha na mkewe aliyeishi naye miaka 28, anyimwa mali. Mosha adai kuibiwa $ milioni 1.4 na jaribio la kupewa sumu

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Kuna watu Huwa wanasema ukioa mchaga ni sawa na kukaribisha jambazi nyumbani kwako.kupewa sumu ni nje nje.nimeanza kuamini maana matukio mengi sana ya wachaga kuua waume zao ili kurithi mali
Huyo mwanamke Davis aliyemuoa kwani ni mchaga? Tena mswahili mndengereko kizuri alibadili dini na kuwa mkristo Yesu atamsamehe. Wewe nimsenge jinga kabisa huna tofauti na Accumen Mo na darcity.

Rejected human being.

Sayngay
 
Ngoma bado mtu akipeleka shauri mahakamani kajipanga kimtindo sio rahisi kudai mahakamani...Mosha kashtuka mchezo ila ajipange hata miaka 5 wanaweza kusumbuana mahakamani.

Mwanamke akidai mali kadhamiria sio kitoto hapo balaa tupu.
Kama anafunds za kutosha na yuko well documented 😂😂, na kitu huyo mzee ameshasanuka mapemaaa...
 
Yapo, mengine ni madogo ila yanakufanya uwe alert
 
Kwani shida ipo wap?

While a marriage is still subsisting a partner may own a property separately..!

Sasa hapo ni suala la ushahid tu wa namna mali zilivopatikana.

Anaedai kuna co-owneship alete ushahid, vingnevyo sion kama mahakam imekosea.

Nadhan ukisoma kesi ya Bi Hawa Mohammed utaelewa vizur.
 
Haki ya Mtu huwa haipotei bali hucheleweshwa tu
 
mke mwenza wa Nancy umekomafua mwenzio kwenye huu uzi
 
Sio kwa mida hii ya mitandao ya kijamii, zile posti zake zote ni evidence....
Ngoja tuone....
 
Masikiniii rohooo yanguu mm rohooo yanguuu m kuchapiwa n siri ya ndani nikoo pale kwa tarimoooo
 

Dawa Ni Davis amfungulie kesi huyo Malaya wake ya kuibia kampuni yao na akitaka kesi iwe tamu amuunganisha na hawara yake miti mingi.
...mpaka hiyo nyumba waliyojenga masaki aidai
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…