Mkuu. Hawajadili maamuzi ya mahakama bali wanataka kujadili ripoti ya CAG ambayo kwa taratibu na kanuni za bunge walielekezwa na bunge kuchunguza ufisadi huo na
kisha ripot hyo kupelekwa kwa kamati ya kudumu ya bunge ya hesabu za serikali na mashirika ya umma PAC![/QUOTE asante kiongozi kwa kumuelimisha huyu simiyu yetu maana yeye kakalia tu ushabiki wa ccm utafikiri alikunywa maji ya bendela ya ccm. ]