Tetty
JF-Expert Member
- Jan 6, 2012
- 26,356
- 21,390
Hii imo humuhumu ndani, Mahakamani hakuna kesi ya kuchotwa kwa mabilioni ya walipakodi wa nchi hii. Mahakamani hakuna kesi ya kwamba mabilioni husika yalichotwa kinyume cha sheria na taratibu za nchi hii. Mahakamani hakuna majina ya vigogo wa serikali na wengineo waliofaidika na mabilioni hayo haramu yaliyochotwa BOT.Mahakamani hakuna maazimio ya Bunge kufanywa ukaguzi kupitia CAG na TAKUKURU. Mahakamani hakuna PAC. Mahakamani hakuna Kamati ya Uongozi ya Bunge.Mahakamani hakuna kiti cha Spika.
Nb. kama umechukua hela ili upotoshe bora urudishe.
Mahakamani kuna kesi ya IPTL kumshtaki KAFULILA tu