Mahakama yaamuru Mwandishi Erick Kabendera kufikishwa Mahakamani kesho. Uhamiaji wasema wanaye wao na kuachiwa kwake kutategemea ushirikiano wake

Papaa Mobimba

JF-Expert Member
Jan 27, 2018
754
3,097
Wanasheria wa Mwandishi wa habari za Kichunguzi, Erick Kabendera wamewasilisha maombi maalum katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kutaka mteja wao afikishwe Mahakamani ama Polisi imuachie leo

Mahakama hiyo imeridhia maombi hayo na kuitaka Polisi kama bado itakuwa ikimshikilia Mwandishi huyo aliyekamatwa tangu Julai 29, 2019 kumfikisha Mahakamani hapo kesho majira ya saa 3:00 asubuhi

Kabendera aliyekamatwa kwa nguvu na Polisi akiwa nyumbani kwake, anashikiliwa katika Kituo cha Polisi cha Barabara ya Kilwa jijini Dar na amekuwa akihojiwa kuhusu uraia wake tangu hapo

UPDATE;
Idara ya Uhamiaji imetolea ufafanuzi suala la kukamatwa na kuhojiwa kwa Mwandishi wa habari za Kiuchunguzi, Erick Kabendera aliyekamatwa Julai 29, 2019

Wamebainisha kuwa wapo naye na Walimkamata kwa ushirikiano wa Polisi na kudai kuwa wanamuhoji na kuachiwa kwake itategemea na ushirikiano atakaoutoa kwao

Jana, Kamanda Mambosasa alisema wamemkamata Kabendera na kuwa wanamuhoji na wapo naye katika Kituo cha Polisi anachosimamia yeye

Leo asubuhi ndugu zake walipata wasaa wa kuweza kuonana naye akiwa katika Kituo cha Polisi cha Barabara ya Kilwa jijini Dar
 
Wanasheria wa Mwandishi wa habari za Kichunguzi, Erick Kabendera wamewasilisha maombi maalum katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kutaka mteja wao afikishwe Mahakamani ama Polisi imuachie leo

Mahakama hiyo imeridhia maombi hayo na kuitaka Polisi kama bado itakuwa ikimshikilia Mwandishi huyo aliyekamatwa tangu Julai 29, 2019 kumfikisha Mahakamani hapo kesho majira ya saa 3:00 asubuhi

Kabendera aliyekamatwa kwa nguvu na Polisi akiwa nyumbani kwake, anashikiliwa katika Kituo cha Polisi cha Barabara ya Kilwa jijini Dar na amekuwa akihojiwa kuhusu uraia wake tangu hapo
 
Hivi kesi ya uraia ni ya polisi au uhamiaji? Na kumshikilia kwa siku zote hizo ni kumaamisha kwamba kama angekuwa mtaani basi angehatarisha amani ya nchi? Nadhani kuna ulazima, kama nchi, kuu-redefine Utanzania, maana wengi wa wakosoaji wa mamlaka either hupewa tuhuma za kutokuwa raia, au kuitwa sio wazalendo
 
Wanasheria wa Mwandishi wa habari za Kichunguzi, Erick Kabendera wamewasilisha maombi maalum katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kutaka mteja wao afikishwe Mahakamani ama Polisi imuachie leo

Mahakama hiyo imeridhia maombi hayo na kuitaka Polisi kama bado itakuwa ikimshikilia Mwandishi huyo aliyekamatwa tangu Julai 29, 2019 kumfikisha Mahakamani hapo kesho majira ya saa 3:00 asubuhi

Kabendera aliyekamatwa kwa nguvu na Polisi akiwa nyumbani kwake, anashikiliwa katika Kituo cha Polisi cha Barabara ya Kilwa jijini Dar na amekuwa akihojiwa kuhusu uraia wake tangu hapo
kisa chote ni kutafuna hela ya EU na kutaka kuficha
 
Wanasheria wa Mwandishi wa habari za Kichunguzi, Erick Kabendera wamewasilisha maombi maalum katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kutaka mteja wao afikishwe Mahakamani ama Polisi imuachie leo

Mahakama hiyo imeridhia maombi hayo na kuitaka Polisi kama bado itakuwa ikimshikilia Mwandishi huyo aliyekamatwa tangu Julai 29, 2019 kumfikisha Mahakamani hapo kesho majira ya saa 3:00 asubuhi

Kabendera aliyekamatwa kwa nguvu na Polisi akiwa nyumbani kwake, anashikiliwa katika Kituo cha Polisi cha Barabara ya Kilwa jijini Dar na amekuwa akihojiwa kuhusu uraia wake tangu hapo
Hayupo polisi barabara ya kilwa ,yupo kisarawe makao makuu ya wasiojulikana ,mnadanganya ,hakukamatwa na polisi alikamatwa na wasiojulikana baada ya kelele za wadau na wanaharakati ndio wakadai yupo polisi .
 
Wanasheria wa Mwandishi wa habari za Kichunguzi, Erick Kabendera wamewasilisha maombi maalum katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kutaka mteja wao afikishwe Mahakamani ama Polisi imuachie leo

Mahakama hiyo imeridhia maombi hayo na kuitaka Polisi kama bado itakuwa ikimshikilia Mwandishi huyo aliyekamatwa tangu Julai 29, 2019 kumfikisha Mahakamani hapo kesho majira ya saa 3:00 asubuhi

Kabendera aliyekamatwa kwa nguvu na Polisi akiwa nyumbani kwake, anashikiliwa katika Kituo cha Polisi cha Barabara ya Kilwa jijini Dar na amekuwa akihojiwa kuhusu uraia wake tangu hapo
Wakati mwigine hili nchi nyoko sana! Mbona kuna lihamiaji haramu limekalia ofisi zetu kubwa wala halikuwahi kuhojiwa?
 
Hivi kesi ya uraia ni ya polisi au uhamiaji? Na kumshikilia kwa siku zote hizo ni kumaamisha kwamba kama angekuwa mtaani basi angehatarisha amani ya nchi? Nadhani kuna ulazima, kama nchi, kuu-redefine Utanzania, maana wengi wa wakosoaji wa mamlaka either hupewa tuhuma za kutokuwa raia, au kuitwa sio wazalendo

Mkuu

Tunaelekea kua failed banana state!

Its so sad!
 
Awamu ya tano bana, eti uraia.....ha ha ha

hapa ndipo mnapofweli.....!! yaani ghafla bin vuu jamaa si raia? hata kama si raia ndiyo mtumie maguvu yote hayo?

Ukiwa na mawazo tofauti na yao eti sio raia!

Yaani hii ishakua ngoma ya kijinga sana!

Wanazidi kujichora mno!

Waje na jawabu jingine!
 
Hivi kesi ya uraia ni ya polisi au uhamiaji? Na kumshikilia kwa siku zote hizo ni kumaamisha kwamba kama angekuwa mtaani basi angehatarisha amani ya nchi? Nadhani kuna ulazima, kama nchi, kuu-redefine Utanzania, maana wengi wa wakosoaji wa mamlaka either hupewa tuhuma za kutokuwa raia, au kuitwa sio wazalendo
Ukisikia matumizi mabaya ya madaraka ndo kama hivyo.
 
Wanasheria wa Mwandishi wa habari za Kichunguzi, Erick Kabendera wamewasilisha maombi maalum katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kutaka mteja wao afikishwe Mahakamani ama Polisi imuachie leo
Mahakama hiyo imeridhia maombi hayo na kuitaka Polisi kama bado itakuwa ikimshikilia Mwandishi huyo aliyekamatwa tangu Julai 29, 2019 kumfikisha Mahakamani hapo kesho majira ya saa 3:00 asubuhi
Kabendera aliyekamatwa kwa nguvu na Polisi akiwa nyumbani kwake, anashikiliwa katika Kituo cha Polisi cha Barabara ya Kilwa jijini Dar na amekuwa akihojiwa kuhusu uraia wake tangu hapo

Habeas corpus
 
Hivi kesi ya uraia ni ya polisi au uhamiaji? Na kumshikilia kwa siku zote hizo ni kumaamisha kwamba kama angekuwa mtaani basi angehatarisha amani ya nchi? Nadhani kuna ulazima, kama nchi, kuu-redefine Utanzania, maana wengi wa wakosoaji wa mamlaka either hupewa tuhuma za kutokuwa raia, au kuitwa sio wazalendo
wamepokea amri kutoka juu, hawajui la kufanya, anawaumbuaga sana, ila bora wamemkamata kuliko kumfanya kwenye kiroba kama wale wengine
 
Back
Top Bottom