ni vilio tupukwani ni ya mtu mmoja ama watu 250 kidogo?
mkuu hebu nieleweshe inamaana hii kona bar ndo hongera bar?Wavunje tu wamezidi kujaza machangudoa hapo na vibaka!
wangeeacha tu kesho iishe
duh sijui itakuwaje aiseeumeona eeeh biashara itakua mbaya sana this weekend
duh sijui itakuwaje aisee
maeneo ya shekilangokwan hii kona baa ndio iko maeneo yepi??
naiskiaga tuu ila siijui ilipo
ha haha mkuu pale naendahga kuangalia video za live bila chengaHahaha ila mkuu naona kama umeumia sana zaidi yangu una siri gani....?
Nyama inachomwa kwa moshi wa magari? halafu inaliwa na binadamu? Hii mpya!mkuu hebu nieleweshe inamaana hii kona bar ndo hongera bar?
ama ni ile ya pale mwanzoni wanakochomaga manyama kwa moshi wa magari?
Pole sana miss chagga naona viwanja vyako vya kujidai vinavunjwawe tulia bana haya mambo tuachie walaji
daga dagaa nikishashiba nahamia cona bar kuangalia videoPole sana miss chagga naona viwanja vyako vya kujidai vinavunjwa
duh pole sana aiseeeTushabomolewa wapendwa mpaka nyumba za ndani kabisa huku karibu na Perfect vision nimelipa kodi juzi tu leo asubuh nabomolewa bila kupewa taarifa
Tafuta viwanja vipya sasadaga dagaa nikishashiba nahamia cona bar kuangalia video
ndiyo kazi ya weekend hiiTafuta viwanja vipya sasa
Nakutakia kila la kheri katika shughuli hiyondiyo kazi ya weekend hii