Sheria ni msumeno bwana kampeni meneja...
Mwenyekiti wa Jumuiya ya wazazi ya Chama Cha mapinduzi CCM (Taifa) Bw. Abdallah Bulembo amesema kuwa hakuna order ya mahakama inatoka leo halafu wewe unabomoa kesho, amesema wao wameshindwa kufanya lolote sababu wao ni chama tawala wakifanya jambo wataonekana wanafanya vurugu.
Hata kontena pavunjwe tujamani sasa tutaenda wapi tena aiseee.. pale kontena vipi?
mfyuuuu roho mbayaHata kontena pavunjwe tu
usingizi unajileta wenyewe ,,.. sijui itakuwaje sasaHahaaaa hpo unatetea mdudu mana ndio mahakama yao......ukishushia n castle light baridiii
usingizi unajileta wenyewe ,,.. sijui itakuwaje sasa
kwa sababu uchafu unatia flavorpoleni wahanga wa mdudu.....hivi kwanini sehemu panapo uzwa mdudu mazingira yke yanakua sio masafi.
kwa sababu uchafu unatia flavor
we tulia bana haya mambo tuachie walajihahaaa n kuleta mchecheto ili mdudu ashuke vizuri
kwan hii kona baa ndio iko maeneo yepi??Yaap inavunjwa polisi kibao ni gari lao la maji ya kuwasha.watu ni kilio tu maduka pia wenye bidhaa wanahangaika kuziweka salama.
wangeeacha tu kesho iisheDaaah!!...na ijumaa ni kesho.