Mahakama ya Mapenzi kutatua migogoro ya ndoa

mwanzo wetu

JF-Expert Member
May 4, 2014
1,581
461
Jamii nzima inamatatizo mengi yatokanayo na Migogoro ya kifamilia, uchumba n.k , hasa mitoso imekiwa rukuki kwa vijana wapande zote mbili na hata wasio vijana wanalia kunyanganywa wake au waume, hivyo nipende kushauri mwanasheria mkuu wa serikali ianzishwe mahakama ya mapenzi ili kutatua changamoto za kimahaba napia inaweza kuiingizia serikali pato kubwa sana kwa mda mfupi mana faini zinaweza kutozwa Asbh hadi jioni, Nawasilisha.
 
Mahakama ya mapenzi ni ninyi wenyewe, mkijua kugombana basi mjue na kusuluhishana sio kila jambo ni mahakamani, ipo siku utaenda jishtaki mwenyewe kwa kupenda mahakama


kijana mapenzi yamemaliza watu.
 
Kesi nyingi za kifamilia zinaishia kwenye familia na ni chache zinafika polisi. Hii ni kwasababu ya kukwepa aibu pale jambo litakapokuzwa..
Mfano juzi nilikua nasikiliza redio, kuna mkaka alimfumania kewe gesti, waliofumaniwa wakapelekwa polisi. Mkaka kujifanya victim akahojiwa na waandishi wa habari, masikini hadi alikua analia. Walipomuhoji mwanamke, akafichua siri kua mumewe ameshindwa kazi! Yaani mashine hazifanyi kazi. Sasa kujitia aibu kote huku ili iweje? Kila mtu akafahamu kua mwanaume una screpa huko.
 
kijana mapenzi yamemaliza watu.
Yanamaliza wasiojielewa, huwezi niambia mtu nilokutana nae ukubwani aweza nivuruga akili kiasi cha kushindwa kufanya kazi zangu ambazo zanifanya niishi na kuwasaidia wazazi wangu
 
Inatakiwa ukumbuke ikianzishwa mahakama lazima itakuwa na sheria zake hivyo unaweza ukajikuta kosa la ajabu ajabu mahakama ikaamuru muachane ukiangalia mke unamtaka utafanyaje hapo.

Nadhani kama mnayaweza nyie wenyewe ndio mahakama na kama mkishindwa basi mtafute mtu mwenye hekima zake ambaye atakuwa msuluhishi wa kesi zenu na si vinginevyo.
 
Back
Top Bottom