Yohana Kilimba
JF-Expert Member
- Dec 25, 2012
- 8,108
- 5,626
kulingana na kamusi ya Lumumba,fisadi ni yule alietimukia CHADEMA mwaka jana,na kisha kupewa nafasi ya kugombea kiti cha uraisi 2015!Mkuu unaposema fisadi mkuu unatuacha hewani kwani katika waliopelekwa mahakamani hatujaambiwa yupi ndio mkuu wao