Bila shaka dhana ya "kujenga" inafahamika kwa kila mtu. Kipindi cha kampeni tuliaminishwa kuwa tukiwachagua watajenga mahakama ya mafisadi na kwa kila aliyesikia hili alijenga taswira mahususi kabisa kuwa mahakama hiyo itajengwa kweli na itakuwa tofauti na hizi mahakama tulizonazo kwa sasa.
Leo tunaambiwa mahakama hii itaanza kufanya kazi. Mimi kwa upande wangu sijui mahakama hii imeanza kujengwa na kumalizika lini, na ni wapi mahakama hii imejengwa?
Isijekuwa kesi za mafisadi tunaenda kuzisikilizia palepale kisutu kwenye mahakama tulizozoea kuona wanapelekwa akina Lissu
Leo tunaambiwa mahakama hii itaanza kufanya kazi. Mimi kwa upande wangu sijui mahakama hii imeanza kujengwa na kumalizika lini, na ni wapi mahakama hii imejengwa?
Isijekuwa kesi za mafisadi tunaenda kuzisikilizia palepale kisutu kwenye mahakama tulizozoea kuona wanapelekwa akina Lissu