Mahakama ya mafisadi kuanza leo

Mahakama ya mafisadi kuanza leo

Mamvi naomba awe mshitakiwa wa kwanza kwenye hiyo mahakama, maana yeye ndiyo chanzo cha ufisadi wote.
Kwa bahati nzuri sheria haifanyi kazi vile unavotaka wewe. Nyumbu wewe
 
Wakuu,
Tuliahidiwa Kuwa Mahakama hii Kuanza Kazi Mapema Baada ya Mwaka wa Fedha 2016/2017 Kupitishwa Bungeni!
Vipi,Delays Zanini Tena?Mbona "Fisadi Mkuu" na Mafisadi Wote "Wadogodogo" Tunagongana Nao Mabega Kitaa,na Wanajidai Kweli Kweli Kwamba Sirikali Haiwawezi!
Lini Mtawapeleka Kolokoloni Ili Wafyate Midomo Yao?
Dola Ipo,Mahakama Tayari Ipo,Magereza Ndio Usiseme!
Why these Delays?
 
Hakuna Mahakama ya Mafisadi. Kuna Mahakama Kuu. Hizo Rushwa na Ufisadi vitashughulikiwa chini ya division iliyo chini ya Mahakama Kuu. Majaji walewale, mahakimu wale wale, mawakili wale wale, delays zile zile.
Sio kitu rahisi kumuadhibu uliyeshirikiana nae kuiba kwa miaka nenda rudi.
 
Hakuna Mahakama ya Mafisadi. Kuna Mahakama Kuu. Hizo Rushwa na Ufisadi vitashughulikiwa chini ya division iliyo chini ya Mahakama Kuu. Majaji walewale, mawakili wale wale, delays zile zile.
Sio kitu rahisi kumuadhibu uliyeshirikiana nae kuiba kwa miaka nenda rudi.
Kumbe,ilikuwa ni siasa!dah
 
Hakuna Mahakama ya Mafisadi. Kuna Mahakama Kuu. Hizo Rushwa na Ufisadi vitashughulikiwa chini ya division iliyo chini ya Mahakama Kuu. Majaji walewale, mahakimu wale wale, mawakili wale wale, delays zile zile.
Sio kitu rahisi kumuadhibu uliyeshirikiana nae kuiba kwa miaka nenda rudi.
Huu ni ukweli zile kauli zilikuwa za wajanja kuwaaminisha wajinga....WAJINGA ni Chakula ya WAJANJA
 
Lugumi hajapelekwa hata mahakamani
 
Back
Top Bottom