Mahakama ya Kisutu yawahukumu wezi wa EPA, Maranda na Farijala miaka 22 jela

Waliowekwa ndani ni mbuzi wa kafara tu! Tungeipongeza serikali kwa:
1. Kumkamata mmiliki wa Kagoda agriculture
2. KUwakamata na kuwahoji viongozi waandamizi waliopinga kwa nguvu zote kuwa wizi wa EPA haupo
3. Kueleza zile hela zilirudishwa na nani na ziko wapi!

Sensible!!
 
Back
Top Bottom