melxkb
JF-Expert Member
- Sep 11, 2010
- 206
- 56
Waliowekwa ndani ni mbuzi wa kafara tu! Tungeipongeza serikali kwa:
1. Kumkamata mmiliki wa Kagoda agriculture
2. KUwakamata na kuwahoji viongozi waandamizi waliopinga kwa nguvu zote kuwa wizi wa EPA haupo
3. Kueleza zile hela zilirudishwa na nani na ziko wapi!
Sensible!!