Mahakama ya Kadhi yalitafuna Bunge

Mahakama ya Kadhi yalitafuna Bunge

Inashangaza sana.

Kila watu mule bungeni walichaguliwa kwa kazi maalum ikiwemo wawakilishi wa iman zao mbali mbali kwenye suala la katiba.

Wakristo na waislam.

Wakristo wana mambo yao wanayofikiri yakiongezwa kwenye katiba wataona imewatendea haki na waislam wana mambo yao ambayo wanafikiri yakiongezwa kwenye katiba wataona wametendewa haki.

Sasa cha ajabu pale wale waislam wanaposimama kuelezea mawazo yao hutokea wakristo na kuyapinga.

Badala hao wakristo kusimama na kuelezea yao wanayoyahitaji wao husimama kupinga ya waislam kwanini??

wale wakristu wa mle mjengoni dawa yao moja.kuwatupia majni ili wote wawe vichaa.ama nini mkuu.
 
Wakati mahakama ya kadhi ikilipasua bunge huko dodoma kwa upande wa Jf pia Hali si Shwari,kauli za kuudhi na kukera zimesomeka wazi Bila kificho........Neema za Mungu zitawale mioyo yetu kuepusha maudhi zaidi.
 
Inashangaza sana.

Kuwa kuna watu hajui kwamba kuwepo wa wakilishi wa dini zao niili pia washuhudie jinsi gani ilivyo ngumu kuingiza masililahi ya dini mojamoja katika katiba ya taifa lisilo na dini.

Wale wa wakilishi wakishajua hivyo watoe mrejesho kwa wanao wa wakilisha kuwa jamani hili haliwezekani kulazimisha ni kutafuta kuvurugana bila ya sababu ya msingi.

Kwaiyo nyinyi wawakilishi wenu hawana ajenda mle ndani siyo??

Mmewatuma tu wakakae kusubiri waislam wanataka kusema nin kisha wao wasimame juu na kusema hawataki si ndiyo??

Mambo ya kwetu sisi na iman yetu nyinyi yanawahusu kitu gani??

Ni kweli nchi haina dini.

Ila wananchi wana dini tatizo liko wapi.

Then unachoshindwa kuelewa ni kwamba hilo la kusema nchi haina dini limeshapitwa na wakati hilo lilikuwa kwenye katiba ile iliyochakaa na inayotaka kufanyiwa marekebisho.

Na ukileta maandiko ya katiba ambayo hiv sasa inataka kuboreshwa au kuandika upya kama gia ya kupinga matakwa yetu ya leo ni uwendawazimu.

Litambue hilo.

Sisi mahakama ya kadhi tutaipata mtake msitake

Unless otherwise hakuna katiba mpya itayopatikana.

Its now freedom for everybody in this country or freedom to nobody.
 
Kwaiyo nyinyi wawakilishi wenu hawana ajenda mle ndani siyo??

Mmewatuma tu wakakae kusubiri waislam wanataka kusema nin kisha wao wasimame juu na kusema hawataki si ndiyo??

Mambo ya kwetu sisi na iman yetu nyinyi yanawahusu kitu gani??

Ni kweli nchi haina dini.

Ila wananchi wana dini tatizo liko wapi.

Then unachoshindwa kuelewa ni kwamba hilo la kusema nchi haina dini limeshapitwa na wakati hilo lilikuwa kwenye katiba ile iliyochakaa na inayotaka kufanyiwa marekebisho.

Na ukileta maandiko ya katiba ambayo hiv sasa inataka kuboreshwa au kuandika upya kama gia ya kupinga matakwa yetu ya leo ni uwendawazimu.

Litambue hilo.

Sisi mahakama ya kadhi tutaipata mtake msitake

Unless otherwise hakuna katiba mpya itayopatikana.

Its now freedom for everybody in this country or freedom to nobody.

mkuu naomba unieleweshe sababu za waislamu kutaka mahakama ya kadhi iwe kwenye katiba. Mi huwa naona watu wanabishana sana lakini sielewi tatizo ni lipi hasa. Je ninyi waislamu mnataka mahakama ya kadhi iwe kwenye katiba ili hao masheikh watakaosimamia mahakama hizo walipwe na serikali? Na kama watakuwa wanalipwa na serikali sasa hilo si tatizo? Maana hiyo mishahara yao na bajeti za kuendesha mahaka za kadhi zitatoka katika kodi ambazo ni jasho la wakristo, waislamu na wasio na dini. Kama kweli mnataka mahakama ya kadhi iwepo na itategemea mapato yenu wenyewe basi hiyo mahakama ya kadhi itambuliwe kwenye sheria za bakwata na mruhusiwe kuzitengeneza nyingi kadri muwezavyo. Tena mkitaka mwaweza kusema kila msikiti wa ijumaa uwe na mahakama hapo hapo. Si imani yenu? Nani atawazuia kama mnafanyia katika maeneo yenu ya misikiti au majengo mliyonunua kwa fedha zenu wenyewe au za udhamini kutoka arabuni?
 
Hali inatisha sana. Tuombe Mungu Mkuu vinginevyo huko tunakoelekea na chuki kiasi hiki kwa baadhi ya waumini wa dini zetu hizi kubwa mbili itakuwa ni majanga makubwa sana.

Wakati mahakama ya kadhi ikilipasua bunge huko dodoma kwa upande wa Jf pia Hali si Shwari,kauli za kuudhi na kukera zimesomeka wazi Bila kificho........Neema za Mungu zitawale mioyo yetu kuepusha maudhi zaidi.
 
mkuu naomba unieleweshe sababu za waislamu kutaka mahakama ya kadhi iwe kwenye katiba. Mi huwa naona watu wanabishana sana lakini sielewi tatizo ni lipi hasa. Je ninyi waislamu mnataka mahakama ya kadhi iwe kwenye katiba ili hao masheikh watakaosimamia mahakama hizo walipwe na serikali? Na kama watakuwa wanalipwa na serikali sasa hilo si tatizo? Maana hiyo mishahara yao na bajeti za kuendesha mahaka za kadhi zitatoka katika kodi ambazo ni jasho la wakristo, waislamu na wasio na dini. Kama kweli mnataka mahakama ya kadhi iwepo na itategemea mapato yenu wenyewe basi hiyo mahakama ya kadhi itambuliwe kwenye sheria za bakwata na mruhusiwe kuzitengeneza nyingi kadri muwezavyo. Tena mkitaka mwaweza kusema kila msikiti wa ijumaa uwe na mahakama hapo hapo. Si imani yenu? Nani atawazuia kama mnafanyia katika maeneo yenu ya misikiti au majengo mliyonunua kwa fedha zenu wenyewe au za udhamini kutoka arabuni?

Bakwata gani unayoizungumzia.

Hiyo aliyoianzisha nyerere au ipi hiyo.

Ni nyinyi na chuki zenu tu.

Kwamba mahakama ya kadhi hii isiendeshwe kwa gharama ya serikali hii kwa kodi ya watanzania hiyo ni chuki yenu nyinyi wakristo wa tanzania.

Kwani mfano wa nchi nyingine kama kenya na uganda kwenye wakristo na waislam na zinakoendeshwa mahakama hizo kuna shida gani??

Na waislam hawalipi kodi ndan ya nchi hii??

Kwa kodi zao hizo hizo wanazokatwa je haziwezi kuendesha mahakama ya kadhi??

Mahakama ya kadhi inagharimu sh ngapi kuendesha??

Hata sisi wenyewe waislam tutakuwa tayari kukatwa kodi zitazosaidia kuendeshs mahakama hiyo hatushindwi.

Hiyo hoja yenu ni mufilisi.
 
Sasa ndugu yangu zenj imeshindwa kujiunga na OIC,sasa hii ishu ya kuingiza mahakama ya kadhi kwenye katiba itawezekana kweli?hiyo ni sawa na kutekenya kinyago alafu utegemee kicheke.
Usisahau kuwa Waislamu tuna historia ya kupigania haki zetu kwa zaidi ya miaka 1400 ...
 
Bakwata gani unayoizungumzia.

Hiyo aliyoianzisha nyerere au ipi hiyo.

Ni nyinyi na chuki zenu tu.

Kwamba mahakama ya kadhi hii isiendeshwe kwa gharama ya serikali hii kwa kodi ya watanzania hiyo ni chuki yenu nyinyi wakristo wa tanzania.

Kwani mfano wa nchi nyingine kama kenya na uganda kwenye wakristo na waislam na zinakoendeshwa mahakama hizo kuna shida gani??

Na waislam hawalipi kodi ndan ya nchi hii??

Kwa kodi zao hizo hizo wanazokatwa je haziwezi kuendesha mahakama ya kadhi??

Mahakama ya kadhi inagharimu sh ngapi kuendesha??

Hata sisi wenyewe waislam tutakuwa tayari kukatwa kodi zitazosaidia kuendeshs mahakama hiyo hatushindwi.

Hiyo hoja yenu ni mufilisi.

Hicho kitu hakiwezekani mkuu, watu wenyewe mliowatuma kule njaa tu, wanawazuga tu, watapelekewa fedha watalainika tu.
 
wakristo wamejijenga sana nchi hii ndio wanaoongoza kutoa social services hivo lazima serikali itoe ruzuku lakin kuwa na mahakama ya kadhi ni kuleta udini kama vipi nendeni iraq wapuuzi nyie

Kwahiyo hii nchi ni ya mamako eti ehh
 
Inashangaza sana.

Kila watu mule bungeni walichaguliwa kwa kazi maalum ikiwemo wawakilishi wa iman zao mbali mbali kwenye suala la katiba.

Wakristo na waislam.

Wakristo wana mambo yao wanayofikiri yakiongezwa kwenye katiba wataona imewatendea haki na waislam wana mambo yao ambayo wanafikiri yakiongezwa kwenye katiba wataona wametendewa haki.

Sasa cha ajabu pale wale waislam wanaposimama kuelezea mawazo yao hutokea wakristo na kuyapinga.

Badala hao wakristo kusimama na kuelezea yao wanayoyahitaji wao husimama kupinga ya waislam kwanini??
mkuu umesahau mambo ya ukawa na tanzania kwanza? Hapo ndipo lilipo jibu lako katika suali ulilouliza!
 
Bakwata gani unayoizungumzia.

Hiyo aliyoianzisha nyerere au ipi hiyo.

Ni nyinyi na chuki zenu tu.

Kwamba mahakama ya kadhi hii isiendeshwe kwa gharama ya serikali hii kwa kodi ya watanzania hiyo ni chuki yenu nyinyi wakristo wa tanzania.

Kwani mfano wa nchi nyingine kama kenya na uganda kwenye wakristo na waislam na zinakoendeshwa mahakama hizo kuna shida gani??

Na waislam hawalipi kodi ndan ya nchi hii??

Kwa kodi zao hizo hizo wanazokatwa je haziwezi kuendesha mahakama ya kadhi??

Mahakama ya kadhi inagharimu sh ngapi kuendesha??

Hata sisi wenyewe waislam tutakuwa tayari kukatwa kodi zitazosaidia kuendeshs mahakama hiyo hatushindwi.

Hiyo hoja yenu ni mufilisi.
mkuu unachekesha sana! Ina maana unataka kodi za serikali ziendeshe mahakama ya kadhi? Kodi zitokanazo na vitu haramu kama bia, sigara na hata vitimoto? Binafsi siungi mkono hili..
 
weka takwimu acha kutishia watu kwa kufoka foka, hiyo MOU waliyopeleka mashehe ikitaka nini kifanyike kati ya serikali na mali za waislamu.

wenzenu walitaka kuchukua shule zao, vyuo vyao, hospitali zao ndipo serikali ilipokubaliana nao kuwa huduma wanazotoa ambazo zilipaswa kutolewa na serikali zichangiwe moja kwa moja na hazina, kinyume chake serikali ingepaswa kujenga skuli nyingi sana, vyuo vingi pia hospitali ndo usiseme, mvumi mision, kilimatinde, nkungi, kcmc, bugando, shirati, ndanda mision, kiomboi, itigi, puma mision . . . . . . nimezitaja haraka haraka kwa uchache.

Mpango wenu wa kuwazalisha mabinti wa kikritu na kuwadhulumu haki zao kupitia "KADHI" umegonga mwamba, kamwe hautafaulu.

Kwani hizo shule zao na hospitali zao hawakuchukua na kipi kinawazuia kuchukua? Mbona hamsemi shule za waislamu zilizochukuliwa kabla ya uhuru? Endeleea kutukana tu but hili jambo litafika katika muafaka tu inshallah.
 
Wewe kawaulize vizuri masheikhe wako wasikalie kukuzuga hivi wewe unafikiri nchi hii ina mataahira kutoa mapesa yote hayo kwa kitu cha kijinga????na bila faida kwa jamii???jiulize kwanza wewe.

Sasa kabla sijawauliza masheikh ngoja nikuulize wewe ni kitu gani kinawafanya mpewe hela kutoka kwa sisi waislamu wakati tukienda hospitali tunatibiwa kwa kulipa hela zetu wenyewe mfukoni? Na sio hivyo tu mbona kuna hospitali za watu binafsi kama TMJ, Agakhan, Burhani hazipewi huo mlungula mnaotafuna.

Na kama mnachangiwa na serikali kwanini msitibu au kusomesha bure kama sio ufisadi huo ni nini?
 
hakuna ruzuku inayotoka serikalini kuisadia kanisa, kanisa la Tanzania linapata misaada mingi toka makanisa marafiki kama vile UK, USA, ujerumani n.k waislamu tangu Gaddafi awuawe hakuna msikiti wowote mliojenga tangu awajengee ule Wa Dodoma ambao mmeficha majambia ndani ya msikiti mkisuburi vita ya jihadi.muendelee kubaki hivyo na mawazo yenu ya madrasa

Kadanganye mtu mwengine:-

Billioni 91 x 22 = 2 Trillion Tshs Sasa hizi zimeenda wapi?


Fumbo mfumbie mjinga mwerevu hung'amua
 
Hali inatisha sana. Tuombe Mungu Mkuu vinginevyo huko tunakoelekea na chuki kiasi hiki kwa baadhi ya waumini wa dini zetu hizi kubwa mbili itakuwa ni majanga makubwa sana.

Bubu,

Hali hii inatokana na ubeberu na ubabe wa watu wa dini dhidi ya dini nyengine. Hali hii inatokana na udini kutaka kulazimisha jamii moja iwe inabakia wanyonge huku jamii nyengine ikifanya lolote itakavyo. Kama kigezo ni kodi kama ndio ilivyo hoja yenu dhaifu swali la kujiuliza je waislamu hawalipi kodi? Je zile Trilioni 2 mpaka sasa zilizokwisha kwenda huko makanisani kupitia umiliki wa hospitali na shule hakuna kodi za waislamu huko na je wao wanafaidika vp na huo umiliki? Je waislamu wangapi wameajiriwa humo na kufanya kazi?

Mie situkani watu ila hoja zangu zinawafanya wengine waishie kutoa mapovu ya matusi na dhihaka. Tulijadiliana kwa kirefu Jamii intelligence mwishoe yakaishia matusi na maneno machafu. Nilinyamaza kimya sikusema kitu ila nilifahamu kuwa hakuna hoja ya msingi hapa?
 
Umenishangaza sana wale jamaa wanaye mkuu wa majini yote ambako majini yote yanasalimu Amri sasa wataweza wapi????@kahtaan
wale wakristu wa mle mjengoni dawa yao moja.kuwatupia majni ili wote wawe vichaa.ama nini mkuu.
 
Sasa kabla sijawauliza masheikh ngoja nikuulize wewe ni kitu gani kinawafanya mpewe hela kutoka kwa sisi waislamu wakati tukienda hospitali tunatibiwa kwa kulipa hela zetu wenyewe mfukoni? Na sio hivyo tu mbona kuna hospitali za watu binafsi kama TMJ, Agakhan, Burhani hazipewi huo mlungula mnaotafuna.

Na kama mnachangiwa na serikali kwanini msitibu au kusomesha bure kama sio ufisadi huo ni nini?

Uzuri umetaja tmj sasa hebu linganisha gharama za tmj ba hospitali ya mission mbweni?

Kama isingekuwa ruzuku ya serikali kwa hospital za makanisa gharama za matibabu huko zingekuwa kubwa mno kwa wasikua wakristu. Vinginevyo ukitaka ahuweni ubatizwe kwanza. Sasa jiulize ni waisilamu wangapi wangebatizwa ili kumudu gharama hizi?
 
Uzuri umetaja tmj sasa hebu linganisha gharama za tmj ba hospitali ya mission mbweni?

Kama isingekuwa ruzuku ya serikali kwa hospital za makanisa gharama za matibabu huko zingekuwa kubwa mno kwa wasikua wakristu. Vinginevyo ukitaka ahuweni ubatizwe kwanza. Sasa jiulize ni waisilamu wangapi wangebatizwa ili kumudu gharama hizi?

Wewe nikuulize Bugando na Mission Mbweni si wanapewa ruzuku? Sasa kwanini basi wanalipisha watu. Na kwanini tulinganishe na Mbweni kwanini tusichukue Hospitali ya KCMC Moshi na TMJ halafu tuzilinganishe?
 
Miaka ya nyuma hali ya chuki za kutisha kiasi hiki haikuwepo kabisa. Watanzania walipendana na kuheshimiana bila ya kujali huyu ni dini gani na yule ni dini gani. Sasa hivi pamoja na hali kuzidi kuwa ya kutisha kutokana na ombwe kubwa la uongozi nchini hakuna anayekemea chuki hizi ambazo zimeshaanza kuleta mitafaruku mikubwa sehemu mbali mbali nchini.


Bubu,
Hali hii inatokana na ubeberu na ubabe wa watu wa dini dhidi ya dini nyengine. Hali hii inatokana na udini kutaka kulazimisha jamii moja iwe inabakia wanyonge huku jamii nyengine ikifanya lolote itakavyo. Kama kigezo ni kodi kama ndio ilivyo hoja yenu dhaifu swali la kujiuliza je waislamu hawalipi kodi? Je zile Trilioni 2 mpaka sasa zilizokwisha kwenda huko makanisani kupitia umiliki wa hospitali na shule hakuna kodi za waislamu huko na je wao wanafaidika vp na huo umiliki? Je waislamu wangapi wameajiriwa humo na kufanya kazi?
Mie situkani watu ila hoja zangu zinawafanya wengine waishie kutoa mapovu ya matusi na dhihaka. Tulijadiliana kwa kirefu Jamii intelligence mwishoe yakaishia matusi na maneno machafu. Nilinyamaza kimya sikusema kitu ila nilifahamu kuwa hakuna hoja ya msingi hapa?
 
Back
Top Bottom