Wakristo wa nchi hii ni zaidi ya mbumbumbu licha ya elimu vyeti walionayo. Na nyie si muingize madai yenu? Kwanini mnazuia madai ya wenzenu?
nyie wakristo kama mnamambo yenu,ombeni yaingizwe kwenye katiba.lakini siyo kuikataza mahakama ya kadhi
Wakristo si mbumbumbu kama nyie mnaodanganywa na ccm kuwa wameliweka suala la KADHI kwenye ilani yao wakati wanajua wazi kuwa kufanya hivyo walikuwa wanawazuga ili mtoe kura zenu kwa ccm na mlipowapa tu wakaiondoa na kwenye ilani yao hivyo mkawa mmetumiwa kama TOILET-PAPER.sasa hapo nani mbumbumbu?.Wakristo hawezi kuomba kuingiza mambo yao ya Ibada kwenye katiba wao wana uwezo kugharamia shughuli zao bila msaada wa katiba,Tunapenda tu kuwashauri muanzishe mahakama hizo kwa gharama zenu mkishindwa ombeni wafadhili toka uarabuni wawasaidie kuendesha hizo mahakama mkishindwa basi mzibinafsishe kwa waislam wenye uwezo waziendeshe.
Jambo wakristo wanasahau usipende kumfanyia ubaya mwenzio ukadhani wewe hautakurudia. Hii nchi udini ulianza pale Nyerere alipoanza kuwa ni mtumishi muadilifu wa kanisa katoliki. Cheyo aache unafiki kama anasema serikali haina dini iweje leo Serikali inaingia Memorandum of Understanding na Makanisa???? Pili akisema Serikali haina mbona inaingia mikataba na kanisa kununua umeme au kanisa linafanya biashara.
Kanisa ni taasisi ya dini haifanyi biashara ingelikuwa ni taasisi isiyo ya dini ningelisema ni haina shida lakini kama ni taasisi ya dini basi serikali ina dini na hili ni jinamizi serikali italibeba. Kama wanataka suluhu wawape waislamu mahakama ya kadhi tutabalance vizuri. Ikiwa tunataka amani hii ndio solution otherwise hii katiba haitapita na nchi itagawanyika vipande. Kuwafanya waislamu ni wajinga kila zama zimepita sasa hivi waislamu wanajua kila hatua ndugu zetu wakristo mnaopiga.
Tatizo lako umekaririshwa wala hujui kwa nini ipo MOU,na ukiambiwa sasa hivi uelezee MOU ni nini huwezi kumwelezea mtu ukweli maana wewe huwa unaisikia tu kule kwenye mihadhara ya kukashifu Ukristo inayoongozwa na Masheikhe wenu Uchwara.
Hivi waislamu wakiugua hawaendi bugando au kcmc? Hivi zile shule za wakristu waislamu wanzuiwa kusoma pale. Nina kumbuka hata Rais wetu ambaye ni mwisilamu safi aliwahi kueleza kuwa alisema shule ya wakristu. Ni elimu hii iliyo pia fursa mpaka akawa Rais wetu.Tuseme uko sahihi hebu nifahamishe ni kwanini Serikali inatoa Bilioni 91 kila mwaka kwa makanisa? Pesa inayotoka katika kodi ya watanzania ambapo sisi waislamu hatufaidiki lolote na umiliki wa hospitali au shule ya kanisa???
Hivi waislamu wakiugua hawaendi bugando au kcmc? Hivi zile shule za wakristu waislamu wanzuiwa kusoma pale. Nina kumbuka hata Rais wetu ambaye ni mwisilamu safi aliwahi kueleza kuwa alisema shule ya wakristu. Ni elimu hii iliyo pia fursa mpaka akawa Rais wetu.
Mahakama ya kadhi ni najisi kwa nchi yetu. Haikubaliki, tushirikiane kuipiga vita.