Hivi waislamu wakiugua hawaendi bugando au kcmc? Hivi zile shule za wakristu waislamu wanzuiwa kusoma pale. Nina kumbuka hata Rais wetu ambaye ni mwisilamu safi aliwahi kueleza kuwa alisema shule ya wakristu. Ni elimu hii iliyo pia fursa mpaka akawa Rais wetu.
Wewe acha ujinga watu wa mwanzo kupeleka MOU serikalini walikuwa akina Sheikh Ponda na walikataliwa na walipokuja makanisa MOU ikapita kwa vigezo kuwa imefikia vigezo husika. Na pili ficha ujinga wako wamiliki ya Bugando na KCMC ni akina nani? Je gawio la pato au dividend kutoka katika hospitali au shule kuna msikiti gani umefaidika? Wafanyakazi waislamu wangapi Bugando na KCMC. Tuondolee upuuzi wako hapa hakuna mjinga kadanganye wengine.