Nimepata habari kwamba Wajumbe wa Tume ya katiba wako ktk mvutano wa chini kwa chini kuhusu hoja ya mahakama ya kadhi. Kuna wajumbe wanataka Mahakama ya kadhi iwepo, wakati wajumbe wengine wanapinga. Nini chanzo cha Manug'uniko? Baadhi ya wajumbe wanadhani kwamba makatibu wa Tume ambao wote ni waislamu wamechakachua ripoti ya maoni kwa kuonesha kwamba maoni ya wengi yalipendekeza uwepo wa kadhi. Tatizo ni nini hapa? Ili Kurekebisha jambo hilo ni lazima wajumbe warudie kusikiliza maoni yote upya ili kujua wangapi waliunga mkono na wangapi walipinga. Kumbuka wajumbe walikuwa ktk makundi tofauti. Kwa kuzingatia idadi ya maoni, That is next to impossible. Hakuna muda.
2 kuna utata wa kwamba si kila ambaye hakupinga uwepo wa mahakama ya kadhi anaunga mkono. Kwa hiyo, kama kila mtu angeulizwa kutoa maoni yake kuhusu jambo hilo idadi ya waliounga au kupinga hoja hiyo ingekuwa na maana.
3, kuna ushahidi wa wazi wa baadhi ya vyama vya siana na dini kuwalisha watu maoni ili wayatoe kwenye tume ya katiba.
4, Sheria yenyewe ya mabadiliko ya katiba inazuia masuala ya dini kuingizwa ktk katiba. Mimi si mjumbe wa Tume ila ni mwanafamilia wa mmoja wa wajumbe wa Tume ya katiba ambaye anadhani kwamba suala la kadhi litaivuruga nchi yetu.
Hata hivyo, jambo jema ni kwamba wako wajumbe wa dini zote mbili kubwa za waislamu na wakristo ktk Tume hiyo wanaotaka suala kadhi lisiwekwe. Tatizo wajumbe wote kutoka z'bar ambao ni 50% wanataka kulazimisha jambo hilo kuwekwa ktk katiba. Kwa upande wa Bara wanaounga mkono hoja hiyo ni wachache sana bila kujali dini zao. Nawasilisha.
2 kuna utata wa kwamba si kila ambaye hakupinga uwepo wa mahakama ya kadhi anaunga mkono. Kwa hiyo, kama kila mtu angeulizwa kutoa maoni yake kuhusu jambo hilo idadi ya waliounga au kupinga hoja hiyo ingekuwa na maana.
3, kuna ushahidi wa wazi wa baadhi ya vyama vya siana na dini kuwalisha watu maoni ili wayatoe kwenye tume ya katiba.
4, Sheria yenyewe ya mabadiliko ya katiba inazuia masuala ya dini kuingizwa ktk katiba. Mimi si mjumbe wa Tume ila ni mwanafamilia wa mmoja wa wajumbe wa Tume ya katiba ambaye anadhani kwamba suala la kadhi litaivuruga nchi yetu.
Hata hivyo, jambo jema ni kwamba wako wajumbe wa dini zote mbili kubwa za waislamu na wakristo ktk Tume hiyo wanaotaka suala kadhi lisiwekwe. Tatizo wajumbe wote kutoka z'bar ambao ni 50% wanataka kulazimisha jambo hilo kuwekwa ktk katiba. Kwa upande wa Bara wanaounga mkono hoja hiyo ni wachache sana bila kujali dini zao. Nawasilisha.