Hebu toa ufafanuzi aliwanyimaje hiyo elimu ya juu? Taasisi nyingi za kikristu ndiyo zilizikuwa zinamiliki mashule na vyuo,yeye kwa msaada akazitaifisha ili ziweze kuwanufaisha hata wa si kuwa waislamu.Hebu nionyeshe shule ngapi za msingi na sekondari zilizokuwa zinamilikiwa na waislamu Kabla ya Uhuru,mapungufu yenu ya kuona elimu ya sioni n muhimu kuliko ya darasani,badilikeniMakosa 2 aliyoyafanya baba wa Taifa Mwl Nyerere kwa waislam wakati anashika usukani wa kuiongoza nchi ndio sasa unaleta tabu.1.Kuifuta mahakama ya KADHI.2.Kuwanyima waislam elimu ya juu kwa makusudi!!!