Mahakama ya Kadhi italipasua Taifa

Mahakama ya Kadhi italipasua Taifa

Status
Not open for further replies.
sharia-cripples.jpg


Halafu ni kwanini wamekatwa mkono wa kulia na mguu wa kushoto ina maana wakitaka kula watatumia mkono wa kushoto,wakitaka kuchamba mkono wa kushoto bora wangekata mkono wa kushoto kuliko mkono wa kulia msosi.
 
sisi hatuna issue na malalamiko yasiokuwa na msingi.
sisi makafiri tuache tulipe kodi kwa ajili ya maendeleo ya nchi itumike kuwalipa mishahara mahakimu wa kadhi?
sisi makafiri tuuze nguruwe zetu hela hizo ziwalipie mahajimu wa kadhi
kwa hili CCM itajikuta imeumia kuliko inavyodhani

mnang'ata huku mnapuliza eeh! mnalipa kodi huku mnaipitia tena na mou yenu
 
sharia-cripples.jpg


Halafu ni kwanini wamekatwa mkono wa kulia na mguu wa kushoto ina maana wakitaka kula watatumia mkono wa kushoto,wakitaka kuchamba mkono wa kushoto bora wangekata mkono wa kushoto kuliko mkono wa kulia msosi.

Hii dini nzuri sn. Nna hamu ya kuua ili niende peponi. Masharti ya kujiunga na boko haram all shabab al kaeda uamsho isisl ni yepi jamani? Nataka nikampiganie alla
 
Uyo ni mjinga wakristo wanapokea mabilioni ya pesa kuputia memorundam of understanding,ambao serikali inajicoment itatoa ,pesa na kusaidia makanisa toka 1992 umesainiwa na lowasa,sasa hizo pesa c kodi za hawa waislam wanaodai mahakama ya kadhi.

serikali inajicoment ndio nini, kasome kidogo elimu dunia
 
Tanzania ni nchi ambayo serikali yake haina dini,ila wananchi wake wana dini,na sote tunaongozwa na katiba ambayo ndio mama wa heri taifa zima,inakuwaje kunafanyika mipango mizito bungeni kuhakikisha kuwa mahakama ya kadhi inakuwepo Tanzania?

Kwanini mambo ya dini yasiamuliwe na mabaraza ya dini husika?

Waislam waende Bakwata na wakristo nao kwao,kupitisha mahakama ya kadhi ni kutulazimisha watanzania wote tuwe waislam.

Sheria haiwezi kuwa kwenye katiba halafu useme inatumika kwa kundi moja katika jamii,kivipi?

Iwapo mahakama ya kadhi itapita basi taifa hili litapasuka,kesho wakristo watakuja na madai yao wakitaka yawemo kwenye katiba,kesho kutwa watakuja wapagani nao na madai yao yawemo kwenye katiba,mwisho wake nini kama siyo mpasuko mkubwa kwa taifa?

Watanzania hatuwezi kukubali kuona mtu anapigwa mawe hadi kuuawa eti kwa kuwa kazini,mahakama ya kadhi haitakuwepo,Tanzania hatuna dini,kila mmoja na aabudu kwa imani yake,imani yako isiwe kero kwa wengine.

Nakupenda Tanzania,MUNGU ILINDE NCHI YANGU ULIYONIPA.

Don't call urself @ Wiseboy wakati unaongea pumba. Hebu tuambie ni nchi gani iliyo na mahakama ya kadhi halafu mpasuko ukawepo. Acha mawazo potofu.
 
Tanzania ni nchi ambayo serikali yake haina dini,ila wananchi wake wana dini,na sote tunaongozwa na katiba ambayo ndio mama wa heri taifa zima,inakuwaje kunafanyika mipango mizito bungeni kuhakikisha kuwa mahakama ya kadhi inakuwepo Tanzania?

Kwanini mambo ya dini yasiamuliwe na mabaraza ya dini husika?

Waislam waende Bakwata na wakristo nao kwao,kupitisha mahakama ya kadhi ni kutulazimisha watanzania wote tuwe waislam.

Sheria haiwezi kuwa kwenye katiba halafu useme inatumika kwa kundi moja katika jamii,kivipi?

Iwapo mahakama ya kadhi itapita basi taifa hili litapasuka,kesho wakristo watakuja na madai yao wakitaka yawemo kwenye katiba,kesho kutwa watakuja wapagani nao na madai yao yawemo kwenye katiba,mwisho wake nini kama siyo mpasuko mkubwa kwa taifa?

Watanzania hatuwezi kukubali kuona mtu anapigwa mawe hadi kuuawa eti kwa kuwa kazini,mahakama ya kadhi haitakuwepo,Tanzania hatuna dini,kila mmoja na aabudu kwa imani yake,imani yako isiwe kero kwa wengine.

Nakupenda Tanzania,MUNGU ILINDE NCHI YANGU ULIYONIPA.

wew kaka umepitwa na wakat nahisi bado unafikiria raisi ni mw. nyerere kw kutojijua.
ivi unashangaa na kupinga mahakama ya kadhi eti sheria yake isiingizwe coz inahusuu jamii 1 tu. basi na zile sheria za mashoga makaka poa na wasagaji madada poa zisiingizwe mana inawahusu watu maalum nawe kuhisi kama hukutendewa haki ukiona wenzio kwao zinafanya kazi.......
jiangalie hapo ulipokaaa hapana kijitiiii.
i love Tanganyika & zanzbar
 
Hivi wakristo wataacha lini kuwachukia waislamu?
 
Don't call urself @ Wiseboy wakati unaongea pumba. Hebu tuambie ni nchi gani iliyo na mahakama ya kadhi halafu mpasuko ukawepo. Acha mawazo potofu.

Of course he is a wise boy!

Kama mnataka kuanzisha mahakama ya kadhi kwa nini mnataka wapagani ,wakristo,wahindu,na dini nyingine za jadi zigharamie mahakama zenu za dini?

Hakuna mtu anakana uanzishwaji mahakama zenu ila tunakana jinsi mnavyotaka ziendeshwe!!!Kaeni huko misikitini mwenu anzisheni mambo yenu mchinjane,mpigane,mlipuane mpaka mtakapochoka lakini hayatuhusu!!

Hivi sisi tukisema masuala yetu ya kanisani kama gharama za uendeshaji wa ibada na mishahara ya mapadre na maaskofu yalipwe na serikali mtakubali nyieee!!?

Mna macho lakini hamuoni,mna masikio lakini hamsikii na mna akili lakini hamuitumii kufikiria!

Tutakuwa tunawaelewesha mpaka lini kama ndio mnakuwa wagumu hivi wa kuelewa!!?

Anzisheni mahakama za kadhi humo humo misikitini mwenu,msituchanganye sie!
 
hanging.jpg


Duh inatisha lakini si mbaya sana kwakuwa haituhusu shauri lao wanaoipigania.


bado uislaam ni dini iliyokamilika.
na pia uwe na akili ya kupambanua Uislam ni dini teule na wafuasi wake ni binaadamu .wanyama miti na vyote vilivyoumbwaa na kuwekewa mfumo maalum wakuishi. hivyo kwenda kinnyume na malengo au msimamo wa dini inabaki ni hali ya kibinaadam na wala sio diniii.
 
Hii dini nzuri sn. Nna hamu ya kuua ili niende peponi. Masharti ya kujiunga na boko haram all shabab al kaeda uamsho isisl ni yepi jamani? Nataka nikampiganie alla

vua chupiii zoteee halafu ujeee uwanjaaani .. ----errrrrrrrrrr
 
sharia-cripples.jpg


Halafu ni kwanini wamekatwa mkono wa kulia na mguu wa kushoto ina maana wakitaka kula watatumia mkono wa kushoto,wakitaka kuchamba mkono wa kushoto bora wangekata mkono wa kushoto kuliko mkono wa kulia msosi.


haahaah wewe kaka unachekesha saana ivi kumuua mwizzi wewe nddio unahalalisha au.kumchoma moto au kumpiga mapanga kama mbwa mwituu. ni haki na nisawaa kabisaa kwa wakristo.

hem kaka kama umeshindwa kupanua akili yako bassi hem panuaa hata mapaja uvute hisiaa halafu ujiulize ivii wale walmavu wa mikono na miguuu. viddole wanaishiiii vipi?
au ukristo hauamini juu ya disable people.
Shem of uuuu
 
sharia-cripples.jpg


Hii hali inatisha unaweza kufikiri hawa jamaa wamepata ajali ya piki piki kumbe sharia imechukua mkondo wake.

We babu usiwe kama Kiazi maana sharia ya dini mwizi ni kukatwa mkono na inategemea kaiba nini sio aibe Kandambili ndio akatwe mkono. Afu hao Vilema wamekataa hadi Mguu ni sheria gani hiyo naomba uniambie
 
Nikwambie nini kwani mimi ulama au mwanazuoni wa kiislam wewe ndio uniambie ni kwanini hawa mabwana wamefanyiwa ukalii mkubwa sasa ni vilema,wamekuwa tegemezi na nk.

We babu usiwe kama Kiazi maana sharia ya dini mwizi ni kukatwa mkono na inategemea kaiba nini sio aibe Kandambili ndio akatwe mkono. Afu hao Vilema wamekataa hadi Mguu ni sheria gani hiyo naomba uniambie
 
Wacha kuzunguka zunguka huu ni ukatili mkubwa hakuna maneno mengine zaidi ya hayo.


bado uislaam ni dini iliyokamilika.
na pia uwe na akili ya kupambanua Uislam ni dini teule na wafuasi wake ni binaadamu .wanyama miti na vyote vilivyoumbwaa na kuwekewa mfumo maalum wakuishi. hivyo kwenda kinnyume na malengo au msimamo wa dini inabaki ni hali ya kibinaadam na wala sio diniii.
 
Uislam haumuhukumu mtu bila kuwa na hushaidi na sababu iliyomfanya atende kosa hili
 
We babu usiwe kama Kiazi maana sharia ya dini mwizi ni kukatwa mkono na inategemea kaiba nini sio aibe Kandambili ndio akatwe mkono. ...
Tuambie basi, hadi aibe nini ndio anakatwa mkono?
 
... Afu hao Vilema wamekataa hadi Mguu ni sheria gani hiyo naomba uniambie
Quran 5:33
The punishment of those who wage war against Allah and His Messenger, and strive with might and main for mischief through the land is: execution, or crucifixion, or the cutting off of hands and feet from opposite sides, or exile from the land: that is their disgrace in this world, and a heavy punishment is theirs in the Hereafter
 
Uyo ni mjinga wakristo wanapokea mabilioni ya pesa kuputia memorundam of understanding,ambao serikali inajicoment itatoa ,pesa na kusaidia makanisa toka 1992 umesainiwa na lowasa,sasa hizo pesa c kodi za hawa waislam wanaodai mahakama ya kadhi.

kuwa mkweli bana kipindi hicho c mwinyi alikuwa Rais. sasa wewe ukiwa waziri ukaagizwa na boss wako ukafanye kaz utafanyaje zaid ya kufuata maagizo. tatizo kubwa la waislam ni unafiki. akifanya mwislam mwenzao wao kimya akifanya mkristo utasikia kelele kuubwa mpaka utashangaa. jitahdin mwache unafiki.
 
Katika hali ya kawaida tu ukimwoma mtu anapinga haki za wengine huyo ni mbinafsi na huenda amerithi tabia hiyo mbaya kutoka kwa wazazi wake au ujinga wake ndio tatizo, nayasema haya kwa sababu kwa akili ya kawaida na iliyosalama huwezi kusema mahakama ya kadhi itasababisha mpasuko kwa kuwa ni uislam pekee umaoendeshwa kwa kufuata sheria japo kuwa baadhi ya hizo sheria zinaachwa kutokana na mchangamano wa kifamilia/kijamii lakn wakristo wao hawawezi dai mahakama kwa sababu hata taurati hawaifuati na ndio msingi wenyewe wa sheria.Kwa upande mwingine mwizi au jambazi hawezi unga mkono utungwaji sheria au ujenzi wa vituo vya polisi na mahakama. La mwisho nionavyo mimi wakristo wa Tanzania hawana tofauti na wakristo wengine duniani kwanini hawa wakwetu wanawasiwasi kwa kitu ambacho ni cha kawaida tu

MwISHO WA UBAYA NI AIBU
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom