Mahakama ya Kadhi italipasua Taifa

Mahakama ya Kadhi italipasua Taifa

Status
Not open for further replies.
wakristo kama mnaona mnaweza kudai nanyi mambo yenu serikalini basi fanyeni hivyo,siyo wenzenu wanadai mambo yanayowafaa katika dini yao ili waabudu vizuri nyinyi wakristo mnachukia.

Mkiambiwa mnachuki juu ya waislam mtakataa? Serikali kama mzazi wetu sote wakristo na waislam tunatakiwa kumuomba mahitaji yetu binafsi na si ya kifamilia.

Sisi waislam tunaiomba serikali ambayo ni mzazi wetu ili tupate uhuru wakuabudu mahakama ya kadhi inatakiwa iwemo kwenye katiba.

Wewe mkristo kama unalako mwombe nawe mzazi wetu serikali akutekerezee jambo lako. Nasio kufanya fitina ili alichoomba mwenzio asipewe.

Niwakati wenu wakristo kubadirika na kuwa na upendo kwa waislam.

Sio kila kitu utaomba kwa mzazi.Kwann msianzishe hiyo mahakama yenu kwa garama zenu wenyewe?mnapenda sna mdebwedo(kubebwa) ktk kila jambo.Kama hamna uwezo wa kuendesha hiyo mahakama tafuteni mfadhili.
 
Sio kila kitu utaomba kwa mzazi.Kwann msianzishe hiyo mahakama yenu kwa garama zenu wenyewe?mnapenda sna mdebwedo(kubebwa) ktk kila jambo.Kama hamna uwezo wa kuendesha hiyo mahakama tafuteni mfadhili.

Samahani dada vipi umeshaolewa?
 
Serikali haiwezi garamia mahakama ambayo ni kandamizi kwa wanawake wa kiislamu!
 
wakristo kama mnaona mnaweza kudai nanyi mambo yenu serikalini basi fanyeni hivyo.

Serikali kama mzazi wetu sote wakristo na waislam tunatakiwa kumuomba mahitaji yetu binafsi na si ya kifamilia.

Wewe mkristo kama unalako mwombe nawe mzazi wetu serikali akutekerezee jambo lako. Nasio kufanya fitina ili alichoomba mwenzio asipewe.
.

mkuu! Hapo umenena vyema! Mm pia ni mkristo lkn ktk hili nakupongeza!
 
hanging.jpg


Duh inatisha lakini si mbaya sana kwakuwa haituhusu shauri lao wanaoipigania.
 
Waislam hawana haja ya kuendeshewa hizo mahakama,wanachotaka maamuzi yake yaheshimiwe kisheria ktk mambo ya mirathi,ndoa na talaka kwa wale waliooana kidini waislam kwa waislam.

Kama ni nyie kwa nyie waislam hapo serikali inakujaje? anzisheni wenyewe kivyenu vyenu,kwa gharama zenu mie si muislam nilipe kodi ikatwe kwa mambo yenu? mbona mnapenda sana shari?
 
Kama ni nyie kwa nyie waislam hapo serikali inakujaje? anzisheni wenyewe kivyenu vyenu,kwa gharama zenu mie si muislam nilipe kodi ikatwe kwa mambo yenu? mbona mnapenda sana shari?

Soma vizuri maelezo yangu usikurupuke
 
Kama ni nyie kwa nyie waislam hapo serikali inakujaje? anzisheni wenyewe kivyenu vyenu,kwa gharama zenu mie si muislam nilipe kodi ikatwe kwa mambo yenu? mbona mnapenda sana shari?

hahaah mkuu umenichekesha sana
 
Kama ni nyie kwa nyie waislam hapo serikali inakujaje? anzisheni wenyewe kivyenu vyenu,kwa gharama zenu mie si muislam nilipe kodi ikatwe kwa mambo yenu? mbona mnapenda sana shari?

Shari ya nini tunataka haki yetu
 
Hapa hatuko kulinganisha katiba ya Kenya na Uganda wanajua wenyewe sisi hatuwezi kuiga kunya kwa TEMBO
Kabla ya kukurupushwa na chuki na kukimbilia kupost hapa, kwanza ungefanya ka-research kadogo tu. Kenya mahakama ya kadhi imo kwenye katiba yao, umesikia mpasuko wowote wa kidini? Au umesikia watu wamepigwa mawe mpaka kufa huko?
 
dawa waislam wote walio BMK kuanzia j3 hakuna kupiga kura ili akidi isikamilike
 
Uyo ni mjinga wakristo wanapokea mabilioni ya pesa kuputia memorundam of understanding,ambao serikali inajicoment itatoa ,pesa na kusaidia makanisa toka 1992 umesainiwa na lowasa,sasa hizo pesa c kodi za hawa waislam wanaodai mahakama ya kadhi.
 
Hawa jamaa wana hamu sana ya hizi adhabu, tuwaache watumie kitabu chao kufanyiana hivi, wapunguze idai ya mashetani
sharia-hand-Crusade.jpg
 
Wavyo danganya toto kuwa eti ni kwa ajili ya mirathi, wakfu na talak peke yake. Watuambie ni statute gani itakayotumika kama siyo quran? sasa kama nchi ya kidemokrasia itakubali kitabu cha dini fulani ambacho hakifanyiwi amendment kuendana na wakati kuingia kwenye supreme law ya nchi hiyo ni hatari kubwa. Ninachokiona ni watu wanatafuta application ya sharia nchini kwetu na wanajitahidi kupitisha kichwa ( kadhi's court) then mwili mzima ufuatie (quranic sharia law)
 
Wavyo danganya toto kuwa eti ni kwa ajili ya mirathi, wakfu na talak peke yake. Watuambie ni statute gani itakayotumika kama siyo quran? sasa kama nchi ya kidemokrasia itakubali kitabu cha dini fulani ambacho hakifanyiwi amendment kuendana na wakati kuingia kwenye supreme law ya nchi hiyo ni hatari kubwa. Ninachokiona ni watu wanatafuta application ya sharia nchini kwetu na wanajitahidi kupitisha kichwa ( kadhi's court) then mwili mzima ufuatie (quranic sharia law)
sharia-cripples.jpg
 
Wavyo danganya toto kuwa eti ni kwa ajili ya mirathi, wakfu na talak peke yake. Watuambie ni statute gani itakayotumika kama siyo quran? sasa kama nchi ya kidemokrasia itakubali kitabu cha dini fulani ambacho hakifanyiwi amendment kuendana na wakati kuingia kwenye supreme law ya nchi hiyo ni hatari kubwa. Ninachokiona ni watu wanatafuta application ya sharia nchini kwetu na wanajitahidi kupitisha kichwa ( kadhi's court) then mwili mzima ufuatie (quranic sharia law)

Kwani waislam wakitaka waongozwe kwa mujibu wa dini yao nani wa kuwazuia...?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom