Mahakama ya Kadhi ipo Tanzania

Mahakama ya Kadhi ipo Tanzania

Criterion

JF-Expert Member
Joined
Jan 8, 2008
Posts
11,797
Reaction score
11,899
Ninapenda niwasahihishe watu wote ambao wamekuwa wakiongelea suala la mahakama ya kadhi kwa mtazamo wa kwamba mahakama hii haipo inahitaji kuanzishwa na kuendeshwa. Huu ni upotoshaji unaowafanya wasiofuatilia ama wasiojua jambo hili kuona kwamba seriakli inawaonea waislam kwa kuwakataza kuanzisha na kuendesha mahakama yao ambayo kwao ni ibada.

Suala ni kwamba, mahakama ya kadhi ipo. Serikali ilishatoa kibali kwamba wanzishe na waihudumie wenyewe kama kitengo cha dini yao sawa na imani zingine zifanyazo. Mahakama hii ilishaanzishwa, na Mufti kwa mamlaka na imani yako, alishateua Makadhi wa Mikoa na wilaya na wanaendelea kufanya kazi. Angalieni hapa:-
Waislamu wapata Kadhi Mkuu

mufti%20isa%20simba%282%29.jpg


Masheikh wa Mikoa na wa Wilaya, wamemchagua Sheikh Abdallah Mnyaki, kuwa Kadhi Mkuu wa Mahakama ya Kadhi Tanzania Bara.

Kadhalika, Masheikh hao wamewachagua Masheikh Abubakar Zuberi pamoja na Alli Muhidini, kuwa wasaidizi wa Kadhi Mkuu.

Uchaguzi huo mjini hapa jana baada ya kumalizika kwa kikao cha siku mbili kilichowakutanisha Masheikh wa Mikoa na Wilaya kutoka Tanzania Bara.

Baada ya kuchaguliwa, Sheikh Mnyaki, aliwataka Waislamu kuwa na umoja pamoja na kushiriki zoezi la Sensa na kuwataka wapuuze kauli ambazo zimekuwa zikitolewa na taasisi za Kiislamu.

Kwa upande wake, Sheikh Mkuu, Mufti Issa Shaaban bin Simba, aliwataka Masheikh kumpa ushirikiano Kadhi Mkuu ili aweze kutekeleza majukumu yake kikamilifu.

Alisema ushirikiano ndio nguzo itakayowezesha viongozi hao kutekeleza majukumu hayo mapya kwa kuzingatia misingi ya dini ya Kiislamu.

Kadhalika, kikao hicho kimewachagua Makadhi 14 wa mikoa mbalimbali kwa nia ya kufanikisha utekelezaji wa majukumu ya Kadhi.

Ilielezwa kwamba mchakato wa kuchagua makadhi wa mikoa mingine utafanyika hivi karibuni

Chanzo: Nipashe.


1. Kwa mantiki hiyo, wote wanaoleta propaganda za kuanzishwa kwa mahakama ya kadhi, ili kupata sympathy ya waislam kwamba wanawatetea eti kwa kunyimwa ruhusa ya kuanzisha mahakama yao, ni wapotoshaji naomba waache kufanya hivyo mara moja ili kumaliza huu mjdala wa kidini na wenye maslahi kwa kunid la waislam tu.

2. Ninaomba sasa tufocus hapa ili tupate uelewa wa pamoja. Mgogoro uliopo ni kwamba, waislam waliomba kadhi, wakaruhusiwa kuanzsisha kama sehemu yao ya ibada. Baada ya miaka kadhaa tangu waanzishe, bila clear reasons, sasa wamekuja na setp mpya ya kulazimisha hakama hiyo waloianzsiha ya dini yao na inayosimamia imani yao, IRASIMISHWE KWENYE KATIBA YA NCHI. Kabla ya kujadiliana, ninaomba jibu kwa swali lifuatalo:-

HIZI MAHAKAMA TANGU ZIREJESHWE NA KUANZA KUFANYA KAZI, ZIMEPATA MATATIZO GANI AMBAYO DAWA YAKE NI KADHI KUANDIKWA KWENYE KATIBA?

Ninaomba jibu. Huna jibu unakuwa msomaji..
 
Ni kweli zinachosha lakini ni persistent. Tunataka tufahamishane ukweli, na tuache kuwavunga vunga watu wasioelewa kwa kuwajengea wrong attitudes huku tukificha ukweli kwa maslahi yetu binafsi.

Tukifahamu ukweli, tutaambizana wazi na kufunga hila za jinsi hii zisijirudie. Usidhani kufukia mijadala inayoibuliwa mara kwa mara yenye lengo la hila na fitina ndiyo suluhisho la migogoro.

Tunahitaji Tanzania yenye misingi ya upendo ukweli na heshima.


Tired na hizi story
 
Kiongozi, ninafikiri kama umesoma hapo juu kwenye mwanzo wa mada, utakuwa umeelewa ni kwa ni inashangaza.

Nimetoa onyo watu waache upotoshaji wa kudanganya uma kwamba waislam wamekatazwa kuanzisha na kutumia mahakama zao. Zipo na wao dio wanajua matumizi yake.

Swali langu kubwa ni kwa nini walalilia sasa ziandikwe kwenye katiba? Kuandikwa kwenye katiba kwa mahakama hizi, kutaongeza nini kwenye ufanisi wake? Ni wapi zimekwama kiasi cha kubainika kwamba mkwamo huo utaisha zikiandikwa kwenye katiba ya nchi?

Ninasubiri jibu, lakini bado hawajaja wanaolilia ziandkwe kwenye katiba.


Kama zipo kwa nini hawazitumii?
 
Haaa.. kumbe walisha anzisha. Kama zipo na wenyewe wanazitambua wanataka iingizwe kwenye katiba ili iweje. Hawa jamaa ni wasumbufu sijawahi kuona.
 
Mahakama ya Kadhi Haipo kwenye Quran

Ndugu wasomaji.

Leo ningependa kusema kuwa, dai la Waislam wa Tanzania la Mahakama ya Kadhi halina msingi wala usaidizi wa Quran.

Kwa wanao ifahamu Quran, watakubaliana na mimi kuwa HAKUNA AYA HATA MOJA ambayo Allah alisema na au Waamrisha Waislam waende kwenye Mahakama ya Kadhi. Narudia tena hakuna aya.

SASA NDUGU WAISLAM:


1. Who appoints Chief Kadhi and Kadhis?

2. What are the qualification for appointment to the office of a Kadhi (including a Chief Kadhi)?

3. Since the Kadhis are not trained lawyers who understand the Evidence Act and the Civil Procedure Act, how and/or what will they use to administer their Courts?

4. Muslims are mainly of two sects in Tanzania - the Sunni and Shia. Majority of the Muslims in Tanzania are Sunni Muslims but there is a significant population of Shia Muslims too and consideration ought to be given to the appointment of Kadhis of the Shia Sect to cater the interest of the Shia Muslims. Will they have two different Courts? For Sunni and Shia?

5. How will Muslim Women be protected since: Muslim law regards women as less than men in matters of both marriage and divorce, as well as devolution of property: Holy Quran Surah 2:228-232, and Surah 65:1-7 (only a man may divorce his wife even if he is required to provide for her); a man may beat his wife, even if lightly, the evidence of two women, is equal to evidence of one man (Surah 2:282). The application of such beliefs of faith are contrary to the Constitution.


Islamic "Kadhi" courtsis illegal and discriminatory.


Kwanini mnamsaidia Allah kwa kuanzisha Mahakama ya Kadhi?

 
Mahakama ya Kadhi Haipo kwenye Quran

Ndugu wasomaji.

Leo ningependa kusema kuwa, dai la Waislam wa Tanzania la Mahakama ya Kadhi halina msingi wala usaidizi wa Quran.

Kwa wanao ifahamu Quran, watakubaliana na mimi kuwa HAKUNA AYA HATA MOJA ambayo Allah alisema na au Waamrisha Waislam waende kwenye Mahakama ya Kadhi. Narudia tena hakuna aya.

SASA NDUGU WAISLAM:


1. Who appoints Chief Kadhi and Kadhis?

2. What are the qualification for appointment to the office of a Kadhi (including a Chief Kadhi)?

3. Since the Kadhis are not trained lawyers who understand the Evidence Act and the Civil Procedure Act, how and/or what will they use to administer their Courts?

4. Muslims are mainly of two sects in Tanzania - the Sunni and Shia. Majority of the Muslims in Tanzania are Sunni Muslims but there is a significant population of Shia Muslims too and consideration ought to be given to the appointment of Kadhis of the Shia Sect to cater the interest of the Shia Muslims. Will they have two different Courts? For Sunni and Shia?

5. How will Muslim Women be protected since: Muslim law regards women as less than men in matters of both marriage and divorce, as well as devolution of property: Holy Quran Surah 2:228-232, and Surah 65:1-7 (only a man may divorce his wife even if he is required to provide for her); a man may beat his wife, even if lightly, the evidence of two women, is equal to evidence of one man (Surah 2:282). The application of such beliefs of faith are contrary to the Constitution.


Islamic "Kadhi" courtsis illegal and discriminatory.


Kwanini mnamsaidia Allah kwa kuanzisha Mahakama ya Kadhi?

Jamani wanasiasa walaumiwe sana katika nchi hii maana wao ndo walioleta issue ya kadhi kwenye ilani zao ili wazipate kura za waislam . Mimi nawakaripia sana wanasiasa-acheni kuahidi visivyotekelezeka vinavyolenga kuleta migogoro ya kidini stop that .
 
Ndiyo hilo tunataka watuambie. Tunataka umma ujua kwamba tatizo si kuanzisha kama wanavyotaka kuuaminisha umma kwamba wamenyimwa kuwanzisha. Hizi mahakama zipo. Wanataka ziingie kwenye katiba ya nchi ili ziongeze ufanisi gani?

Tunaomba tu watuambie zimekwama wapi ambapo wametathmini wakaona zikiingia kwenye katiba mkwamo huo untaondoka. Tunaomba waseme bila kuficha ficha. Katiba ikizinadika, itaongeza nini kwenye hizi mahakama ambazo tayari wanazo?


Haaa.. kumbe walisha anzisha. Kama zipo na wenyewe wanazitambua wanataka iingizwe kwenye katiba ili iweje. Hawa jamaa ni wasumbufu sijawahi kuona.
 
1. Hizo mahakama zilishaanzishwa tayari, tunasubiri watuambie utendaji wake umepata tatizo lipi ambalo litaondoka kwa kuziandika kwenye katiba ya nchi. @ Faiza Fox;Makyenge;Mussa Allan;Kahtaan;

2. Tumewaomba waje watuambie, kama mahakama za kadhi kwenye quran hazimo, na hazina common law, ina maana zitaendeshwa kwa discretion ya kadhi na dhehebu lake. Pasco wa jf, utuambie regulatory position ya serikali inakaa wapi hapa ikiwa itazifanya kadhi kuwa sehemu ya serikali?






Mahakama ya Kadhi Haipo kwenye Quran

Ndugu wasomaji.

Leo ningependa kusema kuwa, dai la Waislam wa Tanzania la Mahakama ya Kadhi halina msingi wala usaidizi wa Quran.

Kwa wanao ifahamu Quran, watakubaliana na mimi kuwa HAKUNA AYA HATA MOJA ambayo Allah alisema na au Waamrisha Waislam waende kwenye Mahakama ya Kadhi. Narudia tena hakuna aya.

SASA NDUGU WAISLAM:


1. Who appoints Chief Kadhi and Kadhis?

2. What are the qualification for appointment to the office of a Kadhi (including a Chief Kadhi)?

3. Since the Kadhis are not trained lawyers who understand the Evidence Act and the Civil Procedure Act, how and/or what will they use to administer their Courts?

4. Muslims are mainly of two sects in Tanzania - the Sunni and Shia. Majority of the Muslims in Tanzania are Sunni Muslims but there is a significant population of Shia Muslims too and consideration ought to be given to the appointment of Kadhis of the Shia Sect to cater the interest of the Shia Muslims. Will they have two different Courts? For Sunni and Shia?

5. How will Muslim Women be protected since: Muslim law regards women as less than men in matters of both marriage and divorce, as well as devolution of property: Holy Quran Surah 2:228-232, and Surah 65:1-7 (only a man may divorce his wife even if he is required to provide for her); a man may beat his wife, even if lightly, the evidence of two women, is equal to evidence of one man (Surah 2:282). The application of such beliefs of faith are contrary to the Constitution.


Islamic "Kadhi" courtsis illegal and discriminatory.


Kwanini mnamsaidia Allah kwa kuanzisha Mahakama ya Kadhi?

 
Hoja za kipuuzi nani ana wakati wa kupoteza?
Hio mahakama iko chini ya WAGALATIA. Haitambuliki
 
Ninajua maisha yako yamejaa chuki lakini pamoja na yote, ninajua unauwezo wa ku comprehend kitu kikaeleweka.

Wagalatia kwenye hiyo mahakama ni akina nani? Naomba ufafanue tu bila matusi.

Kwa hiyo hiyo mahakama iliyoanzishwa na waislam haitambuliani na nani? Kwa nini mlianzisha isiyotambulikana?



Hoja za kipuuzi nani ana wakati wa kupoteza?
Hio mahakama iko chini ya WAGALATIA. Haitambuliki
 
Ninajua maisha yako yamejaa chuki lakini pamoja na yote, ninajua unauwezo wa ku comprehend kitu kikaeleweka.

Wagalatia kwenye hiyo mahakama ni akina nani? Naomba ufafanue tu bila matusi.

Kwa hiyo hiyo mahakama iliyoanzishwa na waislam haitambuliani na nani? Kwa nini mlianzisha isiyotambulikana?

Nimeshakwambia Hapa hakuna hoja ya Kujadili.
 
Jibu maswali. Na kama sivyo, tukubaliane kwamba hakuna hoja ya kulazimisha katiba ya nchi iandike masuala yasiyoeleweka na ambayo hamko tayari kuyaweka wazi kwenye general public.

Picha ninayoipata kwa sababu hamtaki kusema, ni kwamba mna migogoro ya u ndani ya dini yenu. Ndiyo maana mnaitana Wagalatia wakti sisi tunawaona wote ni wamoja. Na ugomvi wenu uko kwenye supremacy.

Mnachotaka ni kutumia serikali kushinikiza itikadi gani iwe juu ya zingine ndani ya makundi pinzani ya dini yenu, kiut ambacho si kazi ya serikali kwa sababu haifungamani na imani ya dini yoyote.

Bado sijaona sababu ya kulazimsiha serikali iandike kwenye katiba yake masuala ya imani ya dini yenu. Kama tatizo ni makosa ya uundwaji wa mahakama ya kadhi hii ilyopo, mnaweza kuunda nyingine kwa namna mnayotaka ambayo mtaiona ni ya kiislam zaidi. Bado mnaweza pia kufika mahali mkaitathimini na kuiona haijakaa mnavyotaka, mkatengeneza nyingine nyingi mtakavyo, lakini serikali haitaziingiza kwenye katiba.

HATUTAKI KUWA NA SERIKALI ISIYO NA MIKONO WALA SAUTI KWA WANANCHI WAKE. SERIAKLI INAYOYUMBA KILA SIKU KUBADILI KATIBA KULINGANA NA MABADILIKO YA IMANI ZA DINI NA BAHATI MBAYA AMBAZO SERIKALI HAINA UTAALAM WALA UWEZO WA KU CONTROL.



Nimeshakwambia Hapa hakuna hoja ya Kujadili.
 
Tabby

Bilashaka mahakama ya kadhi pamoja na hukumu zake, inatakiwa kutambulika katika sheria za nchi ili hukumuzake zisiweze kupingwa katika mahakama za serikali endapo muhukumiwa atadhani kwamba ameonewa na kwenda kukata rufaa katika mahaka za serikali.

Vinginevyo maamuzi ya kadhi yatakuwa hayana nguvu na utekelezaji wake utasuasua. Kwakuwa muhukumiwa kwa jeuri tu, anaweza kukaidi maamuzi ya kadhi na akaenda kukata rufaa katika mahakama za serikali,ili kubadilisha maamuzi ya kadhi.

Na kama unavyojua kwamba maamuzi ya kadhi ni tofauti na ya serikali. Kadhi ataamua shauri kutokana na maelekezo ya sheria za dini, na hakimu katika mahakama za serikali ataamua kutokana na sheria za nchi. Nathani hii ndio sababu.

Kama kuna sababu nyingine ningependa iwekwe hapa ili tuendelee kuelimishana kwa hoja na sio matusi ama jejeli.
 
Last edited by a moderator:
1. Hizo mahakama zilishaanzishwa tayari, tunasubiri watuambie utendaji wake umepata tatizo lipi ambalo litaondoka kwa kuziandika kwenye katiba ya nchi. @ Faiza Fox;Makyenge;Mussa Allan;Kahtaan;

2. Tumewaomba waje watuambie, kama mahakama za kadhi kwenye quran hazimo, na hazina common law, ina maana zitaendeshwa kwa discretion ya kadhi na dhehebu lake. Pasco wa jf, utuambie regulatory position ya serikali inakaa wapi hapa ikiwa itazifanya kadhi kuwa sehemu ya serikali?
Hakuna kafir wa Kiislam anaye weza kukujibu. Tunafahamu kuwa, hakuna huo utumbo wa kadhi kwenye Quran, sasa watuambie, wao wameitoa wapi hiyo kadhi? Hakika wanamzulia Allah uongo kwa kusema kuwa ameruhusu Mahakama ya kadhi.
 
Back
Top Bottom