Mahakama ya Kadhi ipo Tanzania

Mahakama ya Kadhi ipo Tanzania

Bilashaka mahakama ya kadhi pamoja na hukumuzake, inatakiwa kutambulika katika sheria za nchi ili hukumuzake zisiweze kupingwa katika mahakama za serikali endapo muhukumiwa atadhani kwamba ameonewa na kwenda kukata rufaa katika mahaka za serikali.

Vinginevyo maamuzi ya kadhi yatakuwa hayana nguvu na utekelezaji wake utasuasua.
Kwakuwa muhukumiwa kwa jeuri tu, anaweza kukaidi maamuzi ya kadhi na akaenda kukata rufaa katika mahakama za serikali,ili kubadilisha maamuzi ya kadhi.
Na kama unavyojua kwamba maamuzi ya kadhi ni tofauti na ya serikali. Kadhi ataamua shauri kutokana na maelekezo ya sheria za dini, na hakimu katika mahakama za serikali ataamua kutokana na sheria za nchi.
Nathani hii ndio sababu.

Kama kuna sababu nyingine ningependa iwekwe hapa ili tuendelee kuelimishana kwa hoja na sio matusi ama jejeli.

hawa makafiri woote humu Jf wanalijua hilo ila unafik wao wanadhani hatujaujua.

Hakuna muislam mwenye muda wa kupoteza kujibu hizi porojo.


MAKAFIRI MNASAHAU, WAISLAM WA LEO SIO WALE WA MIAKA KUMI ILIYOPITA. TUNAJUA UNAFIKI NA HILA ZENU NYIE WAGALATIA MSIO NA AKILI
 
hawa makafiri woote humu Jf wanalijua hilo ila unafik wao wanadhani hatujaujua.

Hakuna muislam mwenye muda wa kupoteza kujibu hizi porojo.


MAKAFIRI MNASAHAU, WAISLAM WA LEO SIO WALE WA MIAKA KUMI ILIYOPITA. TUNAJUA UNAFIKI NA HILA ZENU NYIE WAGALATIA MSIO NA AKILI

Kaka mbona mnakuwa wakali??

Thread kama hii ni platform nzuri mnayohitaji kuitumia kuuza umuhimu na uhitaji wa kadhi. Ninaona kama mahali sahihi pa kusaidia umma kuelewa na sio mahali pa kutumia lugha kali bali kuitendea haki jamii kukuelewa

Sio kila anaebisha au anaepinga mahakama ya kadhi ana chuki au hila na uislam bali wengine ni kutoona logic ya mahakama ya kadhi kwenye nchi ambayo haifuati mrengo wowote wa dini

Hapa ndiyo sehemu ya kujenga hiyo logic
 
Pasco; NA ccm. Mmeyaona haya? Na ninyi mnalijua hili?

Kama lengo ni kushinikiza watu watekeleze hukumu za kadhi bila haki ya kukata rufaa, hukumu za kadhi ambazo ni za kidini, bado haki ya mtu kuamini na kufuata dini anayoitaka itakuwepo?


Kumbuka hii ni mahakama ya kidini ambayo inaendesha hukumu na mashauri yake kwa misingi ya dini. Mtu asipotii na kufuata taratibu za imani ya dini maana yake dini imemshinda. Dini ya kiislam in taratibu gani kwa wanaoamua kuacha uislam au wanaoshindwa kwa sababu yoyote kufuat matakwa ya imani hiyo?






Bilaa shaka mahakama ya kadhi pamoja na hukumuzake, inatakiwa kutambulika katika sheria za nchi ili hukumuzake zisiweze kupingwa katika mahakama za serikali endapo muhukumiwa atadhani kwamba ameonewa na kwenda kukata rufaa katika mahaka za serikali.

Vinginevyo maamuzi ya kadhi yatakuwa hayana nguvu na utekelezaji wake utasuasua.
Kwakuwa muhukumiwa kwa jeuri tu, anaweza kukaidi maamuzi ya kadhi na akaenda kukata rufaa katika mahakama za serikali,ili kubadilisha maamuzi ya kadhi.
Na kama unavyojua kwamba maamuzi ya kadhi ni tofauti na ya serikali. Kadhi ataamua shauri kutokana na maelekezo ya sheria za dini, na hakimu katika mahakama za serikali ataamua kutokana na sheria za nchi.
Nathani hii ndio sababu.

Kama kuna sababu nyingine ningependa iwekwe hapa ili tuendelee kuelimishana kwa hoja na sio matusi ama jejeli.
 
Kwa dizaini hii na matusi haya ndiyo unategemea kutushawishi tukuandike kwenye katiba?

Unadhani ukatili na matusi ndiyo nguvu ya ushawishi?

Kama ni hivo si mngewatukana waislam wote huko misiktini wafuate hukumu za kadhi kwa nguvu ya matusi. Kwa nini sasa mnaappeal serikalini kwamb serikali iwaanadike kwenye katiba ili mpate nguvu ya kuwashinikiza watu kutii uislam?

Matusi haya yangelikuwa yana tija, bila shaka, mgetukanana tu na compliance ingepatikana. Au unasemaje?


hawa makafiri woote humu Jf wanalijua hilo ila unafik wao wanadhani hatujaujua.

Hakuna muislam mwenye muda wa kupoteza kujibu hizi porojo.


MAKAFIRI MNASAHAU, WAISLAM WA LEO SIO WALE WA MIAKA KUMI ILIYOPITA. TUNAJUA UNAFIKI NA HILA ZENU NYIE WAGALATIA MSIO NA AKILI
 
Tunahitaji kupata majibu kutoka kwao ili tuwaelelewe. Hawawezi kulazimisha katiba yetu iandike masuala yao ya siri bila kujali katiba siyo notebook ya dhehebu wala kundi lolote. Ni msingi mama wa uwepo wa taifa letu.

Kama ambavo hadi sasa tumeshaona. Wanataka katiba iandike ili kila kitu kitakachoamuliwa kwenye mahakama ya kadhi (ambavyo havijulikani vitakwenda hadi wapi ila wanaojua ni waislam wenyewe tena wa leo tu), kisihojiwe wala kukatiwa rufaa na mtu ama chombo chochote. Kwamba ikiamuliwa mtoto wako wa miaka 6 kaolewa na jibabu kwwa masharti kwamba aingiliwe kimwili akifikisha miaka 9, huna haki ya kuhoji na wala chombo chochote hakiwezi kusimama kumtetea mtoto yule kwa sababu, kumpinga kadhi ni kutakuwa ni kuvunja katiba ya nchi.

Lakini pia, mtu atakeyeona hajaridhishwa na maamuzi ya kadhi asiwe na uhuru wa kukata rufaa popote hata kama atabadili dini. Na serikali iseme amina!

Kikubwa nilichokipata hadi sasa, mahakama ya kadhi inawindiwa kuandikwa kwenye katiba ili kuisaidia misikiti kueneza na kulinda uislam kwa lazima. Ninadhani katika kanuni zake, uhuru wa mtu kuabudu dini anayoitaka unafutwa ili iwe dhahiri wee ukikosea ukawa muislam, hata bahati mbaya ukazaliwa kwenye nyumba ya muislam wewe unalazimishwa na katiba kufuata masuala ya uisla hadi kufa!.

NDIYO TUNATAKA SERIKALI YA HIVYO? Mjadala uendelee!.




Hapa pagumu sana kwa hawa ndugu zetu wa mama mdogo.
 
Jamani kumbe kadhi mwenyewe hajui sheria. Hakuna haja ya kumtambua mtu kama huyu kwenye katiba ya nchi.
 
Bilashaka mahakama ya kadhi pamoja na hukumuzake, inatakiwa kutambulika katika sheria za nchi ili hukumuzake zisiweze kupingwa katika mahakama za serikali endapo muhukumiwa atadhani kwamba ameonewa na kwenda kukata rufaa katika mahaka za serikali.

Vinginevyo maamuzi ya kadhi yatakuwa hayana nguvu na utekelezaji wake utasuasua.
Kwakuwa muhukumiwa kwa jeuri tu, anaweza kukaidi maamuzi ya kadhi na akaenda kukata rufaa katika mahakama za serikali,ili kubadilisha maamuzi ya kadhi.
Na kama unavyojua kwamba maamuzi ya kadhi ni tofauti na ya serikali. Kadhi ataamua shauri kutokana na maelekezo ya sheria za dini, na hakimu katika mahakama za serikali ataamua kutokana na sheria za nchi.
Nathani hii ndio sababu.

Kama kuna sababu nyingine ningependa iwekwe hapa ili tuendelee kuelimishana kwa hoja na sio matusi ama jejeli.

Hizo ni dalili za ubabe, ina maana mahakama ya kadhi itakuwa final hakuna kukata rufani..??? Wanasema kadhi atawahukumu waislamu tu sasa mwislamu huyo huyo hatakiwi kukata rufaa endapo ataona kanyimwa haki..?
 
Huyo kadhi ni kiongozi wa dini si mwanasheria. Kazi yake ni kuhukumu kulingana na anavyoielewa dini na kuruani. Dini zinaendeshwa kwa imani. Unaandika kwenye katiba mahakama ambayo kwanza huijui, na huna uwezo wa kutoa mchango wowote kwenye sheria zake. Unaiondolea serikali nguvu za usimamizi wa usalama wa wananchi, au watumiaji wa hiyo imani ama wahanga watarajiwa. Na unaingiza kabisa kwenye katiba ya nchi ambayo haina dini moja, kwamba kila mtanzania lazima afuate na kutii masharti ya uislam, na hukumu zake hapatakuwa na mtu wala chombo chochote cha kupinga wala kukata rufaa popote.

Wakati unawasaliti wananchi wako kwa kujiweka wakala wa dini fulani, bado unajihesabia haki ya kuongoza nchi?


Jamani kumbe kadhi mwenyewe hajui sheria. Hakuna haja ya kumtambua mtu kama huyu kwenye katiba ya nchi.
 
Halafu wanasema watashughulika na ndoa, mirathi, wakfu, malezi ya watoto, migogoro ya kiislam, n.k Hivi,ukiondoa haya, kunabaki nini katika maisha ya mtu ambacho hakitashughulikiwa na hizi mahakama?

Kwanza muislam ni nani? Malezi ya watoto ya kiislam yanasemaje? Haya ya kuwakataza wasiende shule na waolewe wakiwa umri mdogo ndiyo tuyaingize kwenye katiba ya nchi, halafu waislam wote lazima wayatii?

Suala la familia, kwamba mtoto yeyote akizaliwa na mzazi muislam ni muislam hadi kufa, hatakiwi kubadili dini dniyo tunataka katiba ishinikize kuwa ndiyo?

BTW, wanasema pia ikiandikwa kwenye katiba watu watalazimika kutelekeza hukumu zile bila kuzikataa. Kama wanazikataa, na hawawezi kuzitekeleza, maana yake hawazitaki!. Kama hawazitaki maana yake mahakama ya kadhi si hitaji la waislam bali viongozi wachache!. Kwa maslahi ya nani wanawalazimisha watu mahakama wasiyoitaka?

Kama hawataki kutii na ama wengi wanakimbilia mahakama za serikali, hii ni indicator kubwa ya dissatisfaction. Kama waislam wenyewe hawako satisfied na hukumu za kadhi, kwamba wanazikimbia, hii ndiyo sababu kubwa ya kulazimisha katiba ishinikize ili wasikimbie ila wauote moto hadi uwamalize.

Je ni jukumu la serikali kulazimisha watu kutii masuala ya dini?

Serikali siku zote imeshindwa kutatua migogoro ya makundi. Kwa hili suala lilivyo, serikal ikae mbali na masuala ya imani za watu, watu waendeshe imani zao kwa misingi ya imani na vitabu vyao. Katiba ya nchi iiheshimike na makundi yote kusiwe na kundi moja linaubia na serikali ili serikali ishindwe kuthibiti makosa yake.

Hakuna kuandika masuala ya imani za dini nakuzifanya rasmi kuwa sehemu ya serikali. Kila dini itumie misaafu na katiba zake kujiendesha lakini zi kuhamishia masuala ya dini kwenye katiba ili yawe sheria za nchi. hli halippo.


Hizo ni dalili za ubabe, ina maana mahakama ya kadhi itakuwa final hakuna kukata rufani..??? Wanasema kadhi atawahukumu waislamu tu sasa mwislamu huyo huyo hatakiwi kukata rufaa endapo ataona kanyimwa haki..?
 
Huyo kadhi ni kiongozi wa dini si mwanasheria. Kazi yake ni kuhukumu kulingana na anavyoielewa dini na kuruani. Dini zinaendeshwa kwa imani. Unaandika kwenye katiba mahakama ambayo kwanza huijui, na huna uwezo wa kutoa mchango wowote kwenye sheria zake. Unaiondolea serikali nguvu za usimamizi wa usalama wa wananchi, au watumiaji wa hiyo imani ama wahanga watarajiwa. Na unaingiza kabisa kwenye katiba ya nchi ambayo haina dini moja, kwamba kila mtanzania lazima afuate na kutii masharti ya uislam, na hukumu zake hapatakuwa na mtu wala chombo chochote cha kupinga wala kukata rufaa popote.

Wakati unawasaliti wananchi wako kwa kujiweka wakala wa dini fulani, bado unajihesabia haki ya kuongoza nchi?

Kweli tuendako hatukujui.. ee Mungu tunusuru sisi na wajukuu zetu. Ee Mola wangu tuepushe na hili janga. Amen
 
Ndugu Tabby nakupa big up! Ulivyo wakamata hawa watoto wa nje leo,isee hapa hawachomoki.Nimesoma michango yako kweli nimekubali kuwa wewe ni THE GREAT THINKER:
 
hawa makafiri woote humu Jf wanalijua hilo ila unafik wao wanadhani hatujaujua.

Hakuna muislam mwenye muda wa kupoteza kujibu hizi porojo.


MAKAFIRI MNASAHAU, WAISLAM WA LEO SIO WALE WA MIAKA KUMI ILIYOPITA. TUNAJUA UNAFIKI NA HILA ZENU NYIE WAGALATIA MSIO NA AKILI

Eti hakuna mwislamu mwenye mda wa kupoteza kujibu porojo...! Wewe sema huna pointi yoyote ya kuwashawishi watanzania kuitambua mahakama ambayo hata kadhi wenu hajui sheria.
 
Ninyi mnaotaka hiyo mahakama njooni mtuambie uhalali wake. Mbona leo kimya na si kawaida yenu?
 
Pasco; NA ccm. Mmeyaona haya? Na ninyi mnalijua hili?

Kama lengo ni kushinikiza watu watekeleze hukumu za kadhi bila haki ya kukata rufaa, hukumu za kadhi ambazo ni za kidini, bado haki ya mtu kuamini na kufuata dini anayoitaka itakuwepo?


Kumbuka hii ni mahakama ya kidini ambayo inaendesha hukumu na mashauri yake kwa misingi ya dini. Mtu asipotii na kufuata taratibu za imani ya dini maana yake dini imemshinda. Dini ya kiislam in taratibu gani kwa wanaoamua kuacha uislam au wanaoshindwa kwa sababu yoyote kufuat matakwa ya imani hiyo?

Ok, Mimi nimejaribu kujibu swali lako kwamba kwanini nadhani ni muhimu kwa mahakama ya kadhi kutambulika rasmi katika sheria za nchi, na mwisho nimesema " nadhani", kwakuwa huo nimtazamo wangu.

Nitafurahi nikiona jibu jinginge la swalilako hapa kutoka kwa watu wengine, kama lipo!!.

Pamoja na sababu za kufikirika ulizo zitoa hapo juu, unadhani kwanini ndoa za kidini zimetambulika kisheria, na kuna toauti gani inayoleta ugumu katika utambuzi wa kadhi kisheria,na imekuwa rahisi sheria hiyo hiyo kutambua maswala ya ndoa!!!.

Kuhusu katiba kutoa Uhuru wa kuabudu na kwamba haita mlazimisha mtukufuata maamuzi ya mwongozo wa imani yake, na kuhusu ninikina fanyika Mara muislam anapo acha uislam ama kushindwa kufuata matakwa ya dini yake, hiyo siwezi kuielezea.
Wenye kujua wata ielezea ingawa mimi sioni kama ni sehemu ya huu mjadala,manaake inaweza kututoa kwenye pointi ya kadhi na kutupeleka kwenye mjadala mwingine.

Tujenge hoja, vijembe,kejeli,na matusi ni udhaifu.
 
Hizo ni dalili za ubabe, ina maana mahakama ya kadhi itakuwa final hakuna kukata rufani..??? Wanasema kadhi atawahukumu waislamu tu sasa mwislamu huyo huyo hatakiwi kukata rufaa endapo ataona kanyimwa haki..?

Kutakuwa na kadhi kuanzia Ngazi za chini yani kijiji, kata, wilaya, mkoa, na taifa, nadhani akiona ameonewa katika ngazi ya kijiji anaweza kukata rufaa katika ngazi nyingine.
 
Jibu maswali. Na kama sivyo, tukubaliane kwamba hakuna hoja ya kulazimisha katiba ya nchi iandike masuala yasiyoeleweka na ambayo hamko tayari kuyaweka wazi kwenye general public.

Picha ninayoipata kwa sababu hamtaki kusema, ni kwamba mna migogoro ya u ndani ya dini yenu. Ndiyo maana mnaitana Wagalatia wakti sisi tunawaona wote ni wamoja. Na ugomvi wenu uko kwenye supremacy.

Mnachotaka ni kutumia serikali kushinikiza itikadi gani iwe juu ya zingine ndani ya makundi pinzani ya dini yenu, kiut ambacho si kazi ya serikali kwa sababu haifungamani na imani ya dini yoyote.

Bado sijaona sababu ya kulazimsiha serikali iandike kwenye katiba yake masuala ya imani ya dini yenu. Kama tatizo ni makosa ya uundwaji wa mahakama ya kadhi hii ilyopo, mnaweza kuunda nyingine kwa namna mnayotaka ambayo mtaiona ni ya kiislam zaidi. Bado mnaweza pia kufika mahali mkaitathimini na kuiona haijakaa mnavyotaka, mkatengeneza nyingine nyingi mtakavyo, lakini serikali haitaziingiza kwenye katiba.

HATUTAKI KUWA NA SERIKALI ISIYO NA MIKONO WALA SAUTI KWA WANANCHI WAKE. SERIAKLI INAYOYUMBA KILA SIKU KUBADILI KATIBA KULINGANA NA MABADILIKO YA IMANI ZA DINI NA BAHATI MBAYA AMBAZO SERIKALI HAINA UTAALAM WALA UWEZO WA KU CONTROL.
Kama habari ndio hiyo yaani sehemu fulani ya waislam kutaka support ya serikali dhidi ya sehemu nyingine ya Waislam (wagalatia?), basi jambo hili ni mtego mkubwa kwa serikali. Kama wameshindwa kutambua mgogoro huo na kujiingiza kichwa kichwa serikali inataka kuzua mgogoro mkubwa ndani ya jumuiya ya waislam Tanzania.Kumbi BAKWATA ni jumuiya ya CCM na ndio wamepewa ulaji wa mahakama ya kadhi.
 
Kutakuwa na kadhi kuanzia Ngazi za chini yani kijiji, kata, wilaya, mkoa, na taifa, nadhani akiona ameonewa katika ngazi ya kijiji anaweza kukata rufaa katika ngazi nyingine.

Makadhi wote ni viongozi wa dini ya uislamu, imani moja, mungu mmoja na Quruani itumikayo ni moja. Kadhi wa wilaya akitoa hukumu, kadhi wa mkoa hataweza kupinga maana mwongozo wa imani ni moja. HIVYO ni wazi kwamba hakuna pa kukata rufaa hata kama mtu kanyimwa haki yake.
Pili endapo mimi mashahidi wangu ni wanawake na kiislamu mwanamke hasikilizwi si tayari haki yangu imeshapotea...? TAFAKARI CHUKUA HATUA.
 
Back
Top Bottom