Mahakama Kuu yazizuia Kanuni za Maudhui Mtandaoni kutumika hadi Mahakama itoe uamuzi


Saafi sana kwa Judge Twais.
Hivi huyu atakua ni mmoja wa wale wateule 10 wa JPM hivi majuzi au ni mwIningine...!!
 
Watashindana lakini hawatashinda...Mungu akiwa upande wetu ninani aliye juu yetu...
 
Safari imeanza...

Lakini, si Mwakyembe alishawahi kukiri mwenyewe kuwa Mitandao ni vijiwe haziwezi kuwa controlled hivi?

Historia ni mwalimu mzuri sana. Wakati anatamka hayo Dr. Mwamyembe hope hakujua kijacho. Lakini Dr. Mwakyembe kapata maagizo kutoka JUU kuhusu kusajili blogs na yuotube channels, angefanyaje? Akatae kutii ili wanae wafe njaa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…