comrade igwe
JF-Expert Member
- Jan 12, 2015
- 7,295
- 3,939
Acha tujimwage tu humu ndani hakuingiliki kirahisi hivyo hahahahahah
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yajayo yanafurahisha
Safari imeanza...
Lakini, si Mwakyembe alishawahi kukiri mwenyewe kuwa Mitandao ni vijiwe haziwezi kuwa controlled hivi?
Hayataniumiza kwa namna yeyote ile..Ukiifuatilia itakuumiza moyo
View attachment 765380
Wakuu,
Mahakama Kuu kanda Mtwara leo imetoa zuio la muda(Temporary Injuction) dhidi ya matumizi ya Kanuni za Maudhui ya Kimtandao (Online Content Regulations) ambazo matumizi yake yamekwishaanza na tarehe ya mwisho ya bloga na mitandao kuridhia ilikuwa kesho tarehe 5 May 2018.
Maombi hayo yaliyowalishwa mahakamani na waombaji 6 wakiwemo Jamii Media, Legal and Human Rights Cente(LHRC), THRDC, MCT, TAMWA na TEF.
Katika kesi ya msingi ya mapatio ya kanuni hizo(Judicial review) washitakiwa ni Waziri wa Habari, Tanzania Communication Authority (TCRA) na Mwanasheria Mkuu wa Serikali(AG).
Katika maombi ya msingi waombaji wameiomba Mahakama kufanya mapitio ya kanuni hizo kwa vigezo hivi:
i) Waziri ametumia nguvu ya kisheria nje ya mamlaka yake (Ultra vires)
ii) Zinakiuka kanuni za usawa (Natural justice)
iii) Kanuni hizo zinapingana na Uhuru wa kujieleza (Freedom of Expression) Haki ya kusikilizwa(Rights to be heard) na haki ya usiri( Right to Privacy)
Kesi ya msingi imepangwa kusikilizwa tarehe 10 Mei 2018
View attachment 765463 View attachment 765462
Saafi sana kwa Judge Twais.
Hivi huyu atakua ni mmoja wa wale wateule 10 wa JPM hivi majuzi au ni mwIningine...!!
Mungu wakati wote huwa anasimamia hakiGod is great!
Alivamiwa Ofisini kwake na watu kutoka Ofisi Kuu. Wakasachi na kunyang'anya mafaili ya kesi aliyokuwa anasimamia na kuyapeleka kusikojulikana. Mzee wa watu ghafla akajitoa kwenye ile kesi.Kwani jaji Mweisumo alifanya nini?
Tupo Tayari.Yajayo yanafurahisha
Iwapo watapuuza non-compliant watawashitaki wapi?ni jambo zuri. ila wasiwasi wangu inaweza ikapuuzwa hiyo amri ya mahakama.
Historia ni mwalimu mzuri sana. Wakati anatamka hayo Dr. Mwamyembe hope hakujua kijacho. Lakini Dr. Mwakyembe kapata maagizo kutoka JUU kuhusu kusajili blogs na yuotube channels, angefanyaje? Akatae kutii ili wanae wafe njaa?Safari imeanza...
Lakini, si Mwakyembe alishawahi kukiri mwenyewe kuwa Mitandao ni vijiwe haziwezi kuwa controlled hivi?
Polepole utalielewa somoSheria nyingine za kinazi!
Safari imeanza...
Lakini, si Mwakyembe alishawahi kukiri mwenyewe kuwa Mitandao ni vijiwe haziwezi kuwa controlled hivi?
Wewe unafikiri mimi sina kazi nyingine.Polepole utalielewa somo