VoiceOfReason
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 5,194
- 1,355
Hivi hilo deni liko freezed au Interests ndio zinazidi kuongezeka?, when is the deadline ya kulipa?
Kumbe kuna vipengele kibao vya kuwabana ma "Mafia" hawa? Kumbe Werema au ana maslahi na hii Dowans au ni kilaza wa sheria. Mimi si mwanasheria, lakini kwa kusoma maoni ya wana Great Thinkers nimeona kuna jambo nyuma ya pazia katika wateule wa serikali ya Kikwete kushabikia malipo yafanywe "Haraka". Ilishakuwa prooved beyond reasonaable doubt kwamba Richmond ilikuwa genge la ma "Mafia" lililokuwa na malengo ya kuifilisi nchi hii, sasa iliwezaje kuurithisha mkataba wa kitapeli kwa Kampuni nyingine ya kitapeli yaani Dowans? Na Serikali "makini" ya Kikwete ilikubali vipi mkataba wa kampuni iliyothibitishwa tapeli kurithishwa kwa nyingine kama hiyo? CCM itafute namna nyingine ya kuchakachua fedha lakini si kwa hili. Tumewashtukia na wakilipa watauona uchungu wetu kwa kuandamana hadi ikulu hata kama nusu yetu tutauwawa na majeshi yao, tutakuwa tumeasisi vita ya ukombozi dhidiya ugandamizaji wa CCM.Pamoja na kwenda ICC, The Arbitration Act inasema kuwa Mahakama ya Tanzania ndiyo yenye uamuzi wa mwisho iwapo maamuzi ya ICC yatekelezwe au la. Hivyo mwenye final say kwenye hili jambo ni the High Court of Tanzania na si ICC kwani ruling ya ICC lazima iwe registered kwenye Mahakama Kuu ya Tanzania na mahakama iseme kama malipo haya ni halali au siyo halali na kuyakataa. Kama ilivyokuwa quoted kwenye hii habari ya THISDAY, sheria ya Tanzania inasema:
"Where an arbitrator or umpire has misconducted himself or an arbitration or award has been improperly procured, the court may set aside the award."
Hii maana yake ni nini na je, kama Mahakama yetu itatofautiana na tafsiri kama ilivyotolewa na ICC kuhusu sheria yetu ya manunuzi, then what ? Is somebody suggesting that we should just swallow it and like it !The arbitration agreement contained in this Section shall be governed by and construed in accordance with the Laws of Tanzania.
...................This is the argument -- TANESCO ambayo ni legal entity ndani ya Tanzania iliitumia sheria ya PPA na kuamua kuwa mkataba wa Richmond/Dowans ni illegal na ikauvunja. ICC judges ambao ni foreigners walifanya tafsiri yao ya sheria hiyo ya Tanzania ya PPA na kudai kuwa mkataba ulikuwa legal................
Bandugu mimi naomba tu nieleweshwe hili hapa kwenye "ICC Rules"
Hii maana yake ni nini na je, kama Mahakama yetu itatofautiana na tafsiri kama ilivyotolewa na ICC kuhusu sheria yetu ya manunuzi, then what ? Is somebody suggesting that we should just swallow it and like it !
Tunajua vizuri kabisa kuwa hiyo arbitration ilitakiwa ifanyike nchini (Dar es Salaam, Tanzania), je kikao cha ICC kilifanyika hapa ?"
ICC inaangalia mkataba ( Contract ) baina Ya Tanzania & Dowans na inaamua kufuatana na huo mkataba vipi unasema na haingalii kuwa kuna kipengele fulani ndani ya mkataba hakikubaliani na sheria za Tanzania sababu mkataba ume sainiwa na Tanzania au muakilishi was serikali ya Tanzania. Bora kulipa au tuombe mfadhili atulipie la sivyo tuta wakimbiza wawekezaji na labda hatutapata mikopo na misaada. Tunaweza kushi bila wafadhali wetu au wawekezaji ?
ICC inaangalia mkataba ( Contract ) baina Ya Tanzania & Dowans na inaamua kufuatana na huo mkataba vipi unasema na haingalii kuwa kuna kipengele fulani ndani ya mkataba hakikubaliani na sheria za Tanzania sababu mkataba ume sainiwa na Tanzania au muakilishi was serikali ya Tanzania. Bora kulipa au tuombe mfadhili atulipie la sivyo tuta wakimbiza wawekezaji na labda hatutapata mikopo na misaada. Tunaweza kushi bila wafadhali wetu au wawekezaji ?
Bandugu mimi naomba tu nieleweshwe hili hapa kwenye "ICC Rules"
Hii maana yake ni nini na je, kama Mahakama yetu itatofautiana na tafsiri kama ilivyotolewa na ICC kuhusu sheria yetu ya manunuzi, then what ? Is somebody suggesting that we should just swallow it and like it !
Tunajua vizuri kabisa kuwa hiyo arbitration ilitakiwa ifanyike nchini (Dar es Salaam, Tanzania), je kikao cha ICC kilifanyika hapa ?"
Mkuu, ni sahihi kuwa regulations za ICC zinasema kuwa ruling ya ICC ni final and an aggrieved party cannot appeal to ICC or any other legal body. Lakini si kweli kuwa hukumu za nje hazihusiki na The Arbitration Act. Sheria hii inahusu arbitration za ndani na za nje ya nchi. Ndio maana hukumu ya ICC lazima isajiliwe High Court kupitia sheria hii.
At the same time, ili ruling ya ICC iwe enforceable hapa Tanzania, regulations za ICC yenyewe na sheria ya Arbitration ya Tanzania inatamka kuwa lazima hiyo ruling ya ICC iwe submitted High Court of Tanzania na mahakama hiyo ya Tanzania ndiyo inayotoa maamuzi ya mwisho.
Section 17 (1) of The Arbitration Act states:
"An award on a submission on being filed in the court in accordance with this Act shall, unless the court remits it to the reconsideration of the arbitrators or umpire or sets is aside, be enforceable as if it were a decree of the court."
Kwa maana nyingine, ingawa TANESCO imefungwa kwenye mkataba kuwa it can't appeal, High Court inaweza kuirudisha ruling back to ICC for reconsideration na kuwaambia you erred in law in your ruling, kindly review the proceedings of the case. Au High Court of Tanzania pia inaweza kuamua to set aside (kuutupilia mbali) uamuzi wa ICC.
Lazima tutenganishe vitu viwili, ni kweli kuwa TANESCO haiwezi kukata rufani dhidi ya maamuzi ya ICC, lakini Mahakama Kuu ya Tanzania kwa kutumia busara yake ina uwezo wa kukataa kusajili hukumu ya ICC na badala yake kuirudisha hukumu hii ICC ipitiwe upya au kuitupilia mbali kabisa hukumu hii.
The law is on our side, tusibabaike!
Fareed kama uliiona thread ya Invisible mimi nimekuwa na opinion ya kutolipa Dowans based on moral grounds kwamba pamoja na ruling ya ICC kuwafavor Dowans sote tunajua tunaibiwa.
After reading your comments napata matumaini kidogo tena kwamba we still have some room.
Docet II ya Invisible ina mahala 14.2 Choice of Law:This Agreement and All rights under this Agreement and the Annexes shall be governed by, construed and enforced in accordance with the Laws of Tanzania.
Can this clause support your argument kwamba all is not lost yet??