Sumve 2015
JF-Expert Member
- Jun 16, 2013
- 4,415
- 4,057
Hapo Jaji Feleshi amekuwa Jaji hasa na katenda haki sababu tu hukumu imekuwa kama mlivyotaka msikie imekuwa, ikiwa kinyume yanakuwa ni maelekezo kutoka muhimili ulojichimbia sana...pathetic!
Sent using Jamii Forums mobile app