Sasa huyu Msigwa kama kweli anao ushahidi kwa nini anajificha kwenye case technicality ili kesi ifutwe?.
Haoni kuwa hii ndiyo ilikuwa nafasi ya yeye kuyasema machafu yote mbele ya mahakama na wananchi wakauona na kuusikia ushahidi wake.
Huyu Msigwa hana ushahidi wowote na kama angekuwa nao basi asingeliweka pingamizi ili kesi yake ifutwe kabla ya kusikilizwa kwa sababu eti haikufunguliwa Mwanza au Iringa.
Tunachotaka sisi wananchi ni kusikia ushahidi wa tuhuma zake mahakamani na siyo kutaka kujificha kwenye ujanja wa kisheria ambao utatufanya tusisikie ushahidi wowote.
Sasa kinana ameenda kushtaki kuwa yeye sio jangili? Maajabu ya dunia haya
Ukitaka Kujua Muongo wa siasa ni kama Msigwa, Huyu Bw anatafuta Umaarufu kwa njia za kipoumbavu na zisizo na manufaa yeyote, ni mjinga wa hali ya juu sana, kwani ametumika na Dr Slaa katika hili na akaahidiwa ya kuwa aseme hivyo na atapewa ushahidi, Mpaka leo hajapewa ushahidi. Kinana anasingiziwa na yote haya ni ya uongo, mahakama hiyo hiyo ambayo mnaipenda inapo waachia huru wana CDM wanapopandikizwa mijikesi na polisi na kuishaingilia inapotoa uamuzi wa haki wakati wenu na leo itatoa hukumu ya haki kwenye kesi hii.
Basi Msigwa akishundwa au kuonekana na hatia msije na papara za kesi imechakachuliwa, kaonewa, kuna mkono wa ccm, Rais kaingilia, Kinana kamhonga jaji na kamuahidi Ubunge nk...............
Kueni wapenda haki
Yeye anataka Msigwa "AFUTE KAULI" tu, hajakanusha kuwa yeye ni tuskst