MwanaDiwani
JF-Expert Member
- Mar 22, 2013
- 5,536
- 2,268
Mkuu!
Usichanganye SHERIA na MAONI!Wewe ukiyo andika hapa ni maoni sio sheria inavyosema!
Sheria za kesi ya kashfa zipo wazi kabisa wapi zikafunguliwe kesi🙁1) Sehemu ambapo tukio lilitokea(Mwanza) au makazi ya kudumu ya mtoa kashfa(Iringa)!
Kinana anataka kuivuta kesi hii hadi uchaguzi wa 2015 ili isiweze kuongelewa tena Mahakamani kwa ground kuwa shauri bado lipo kwenye kusikilizwa!
Bill of Lading ya meli ambazo Kinana ana hisa zitamaliza kesi hii!
Kama tatizo nila Kinana, kwa nini Msigwa ameweka pingamizi badala ya kuiacha mahakama kuamua hivyo.
Huoni Msigwa kuweka pingamizi ndiyo anasababisha kupoteza muda na kwa maana hii anamsaidia Kinana katika malengo yake kana unavyosema. Kwa hiyo msigwa amehongwa ili kuweka pingamizi kumsaidia Kinana kununua muda mpaka election 2015