Mahakama kuamua kesi ya Kinana leo

Sasa huyu Msigwa kama kweli anao ushahidi kwa nini anajificha kwenye case technicality ili kesi ifutwe?.

Haoni kuwa hii ndiyo ilikuwa nafasi ya yeye kuyasema machafu yote mbele ya mahakama na wananchi wakauona na kuusikia ushahidi wake.

Huyu Msigwa hana ushahidi wowote na kama angekuwa nao basi asingeliweka pingamizi ili kesi yake ifutwe kabla ya kusikilizwa kwa sababu eti haikufunguliwa Mwanza au Iringa.

Tunachotaka sisi wananchi ni kusikia ushahidi wa tuhuma zake mahakamani na siyo kutaka kujificha kwenye ujanja wa kisheria ambao utatufanya tusisikie ushahidi wowote.
Wewe Mjinga lazima mtiririko wote wa kufungua kesi ufuatwe siyo kila kitu kifanywe kiccm nyambaf
 
Sasa anabisha nini? Mkamatwa na ngozi sindie yeye? Yaan nyumban kwako ukutwe na vichwa vya aribino halafu jesi hiyo upone!! Kweli masikin ndio wanao fia magereza,wapi utawala wa sheria? Mmm! Maccm bwana! Mungu yupo atawaumbua hivi punde
 
Msigwa MB haijaikwepa kesi hii!

Kesi ikifutwa Kinana atafungua upya ama Iringa nyumbani kwa Msigwa au Mwanza sehemu aliyo yasema haya maneno!

Sheria za defemation ndiyo zinavyosema!

Unakosa hata hoja ya kujenga utetezi kuhusu main issue na siyo ujanja ujanja wa kisheria.

Watu wenye maono na fikra pana tumeishafahamu vizuri kuwa huyu Msigwa hana ushahidi na kama angekuwa nao kwa jinsi tunavyomfahamu, basi asingeomba hata kesi ifutwe kwa vile tu haikufunguliwa Iringa au Mwanza.

Hivi wewe unadhani sehemu ya kufungua kesi ni muhimu zaidi ya kuusena ushahidi anaodai anao na Watanzania wakafahamu kupitia muhimili wa utoaji haki kuwa Kinana anahusika na biashara ya uuzaji nyara za serikali.

Let's be honest and real.
 
Sasa huyu Msigwa kama kweli anao ushahidi kwa nini anajificha kwenye case technicality ili kesi ifutwe?.

Haoni kuwa hii ndiyo ilikuwa nafasi ya yeye kuyasema machafu yote mbele ya mahakama na wananchi wakauona na kuusikia ushahidi wake.

Huyu Msigwa hana ushahidi wowote na kama angekuwa nao basi asingeliweka pingamizi ili kesi yake ifutwe kabla ya kusikilizwa kwa sababu eti haikufunguliwa Mwanza au Iringa.

Tunachotaka sisi wananchi ni kusikia ushahidi wa tuhuma zake mahakamani na siyo kutaka kujificha kwenye ujanja wa kisheria ambao utatufanya tusisikie ushahidi wowote.
Hujui kama huo ni mpango wa Kinana ili kesi ifutwe, amempigia magoti Msigwa kwa kuwa Kindovu hana pa kutokea, lakini ujumbe umefika
 
Viongozi wa chadema wamezoea kujiuza,mbowe na genge lake walitaja mafisadi,halafu wakapanga foleni kwenda kuomba misaada,na kisha wakarudi kukiambia chama chao wanakikopesha,na chadema ikalipa,sasa naibu katibu mkuu peter msigwa,anadhani atafanya biashara ya pesa na kinana,kwa akili ya magenge ya wahuni wa chadema,nasema magenge maana ni kusanyiko la kila character,wezi wa magari,matapeli na kila aina ya ubaka,wanadhani kwa kumchafua kinana watapata chochote,mh.mkono anajua bei ya mbowe,slaa,lema,na waganga njaa wote wa chadema,na kesi hii,msigwa ataumbuka na uchungaji wake.
 
Duh, Kinana is so Cheap!!!!350 million? ndio maana ufisadi hauwezi kuisha chini ya CCM.
Hawa mawakili wa CDM sasa wapigwe chini,kwani Msigwa alisema ana ushahidi lakini sasa anataka huruma ya Mahakama eti Kesi imefunguliwa kimakosa..........badala ya kutowa ushahidi ili kusaidia Taifa.............CDM iefika mwisho huu ni mwaka wa vichapo haki ya mama!
 
Viongozi wa chadema wamezoea kujiuza,mbowe na genge lake walitaja mafisadi,halafu wakapanga foleni kwenda kuomba misaada,na kisha wakarudi kukiambia chama chao wanakikopesha,na chadema ikalipa,sasa naibu katibu mkuu peter msigwa,anadhani atafanya biashara ya pesa na kinana,kwa akili ya magenge ya wahuni wa chadema,nasema magenge maana ni kusanyiko la kila character,wezi wa magari,matapeli na kila aina ya ubaka,wanadhani kwa kumchafua kinana watapata chochote,mh.mkono anajua bei ya mbowe,slaa,lema,na waganga njaa wote wa chadema,na kesi hii,msigwa ataumbuka na uchungaji wake.

Umesoma pingamizi la wakili wa Msigwa au unaandika kwa hisia? Sheria inasema madai ya defamation yanapaswa kufunguliwa eneo lilikofanyika kosa. Sasa Msigwa hajapinga kusema kuwa Kinana ni jangili bali kesi lazima ifunguliwe kule alikosemea hayo ili adhibitishe.
Hili hata mawakili wa Kinana wanalijua ila walifungulia kesi Dar wakijua itapingwa na huo ni mkakati tuu wa kuifanya kesi ichukue muda mrefu ili watu waisahau na iwe advantage kwake kisiasa maana itasahaulika huku amri ya kuwa asizungumzwe kuhusiana na meno ya tembo ikiendelea.
 
Hakuna kufuta kauli aliyekamatwa na ngozi ndio mwizi wa ng'ombe,sheria inasema ukifadhili ugaidi na wewe gaidi,kinana meli yake ilikamatwa ikisafirisha pembe za ndovu.
 
Sasa huyu Msigwa kama kweli anao ushahidi kwa nini anajificha kwenye case technicality ili kesi ifutwe?.

Haoni kuwa hii ndiyo ilikuwa nafasi ya yeye kuyasema machafu yote mbele ya mahakama na wananchi wakauona na kuusikia ushahidi wake.

Huyu Msigwa hana ushahidi wowote na kama angekuwa nao basi asingeliweka pingamizi ili kesi yake ifutwe kabla ya kusikilizwa kwa sababu eti haikufunguliwa Mwanza au Iringa.

Tunachotaka sisi wananchi ni kusikia ushahidi wa tuhuma zake mahakamani na siyo kutaka kujificha kwenye ujanja wa kisheria ambao utatufanya tusisikie ushahidi wowote.

Hiyo ndio sheria; wanaangalia dots na technicalities tu, haki ni kidogo sana na ndio maana wapo wafungwa waliohukumiwa bila hatia, na pia wapo wahalifu walioshinda kesi huku wakiwa na hatia!
 
Sasa huyu Msigwa kama kweli anao ushahidi kwa nini anajificha kwenye case technicality ili kesi ifutwe?.

Haoni kuwa hii ndiyo ilikuwa nafasi ya yeye kuyasema machafu yote mbele ya mahakama na wananchi wakauona na kuusikia ushahidi wake.

Huyu Msigwa hana ushahidi wowote na kama angekuwa nao basi asingeliweka pingamizi ili kesi yake ifutwe kabla ya kusikilizwa kwa sababu eti haikufunguliwa Mwanza au Iringa.

Tunachotaka sisi wananchi ni kusikia ushahidi wa tuhuma zake mahakamani na siyo kutaka kujificha kwenye ujanja wa kisheria ambao utatufanya tusisikie ushahidi wowote.

Kwanini unafikiri Kinana kafungulia kesi Dar badala ya Iringa au Mwanza? Unafikiri na kuamini kuwa hilo jambo muhimu la kisheria bwana Kinana na wakili wake hawakulijua toka mapema? mwambieni aache zuga za kisiasa na hii ni maksudi ambayo yaonyesha kuwa hakuwa serious ya kutaka kesi isikilizwe ama au anataka kumpa ujiko wa bure huyo Muruke wenu
 
Duh, Kinana is so Cheap!!!!350 million? ndio maana ufisadi hauwezi kuisha chini ya CCM.

Mwenye kuadhabiwa anatakiwa awe na uwezo wa kutekeleza adhabu ili ajifunze. Tusubiri kama atashindwa azilipe ndo zikawekwa kidogo.
 
Cdm bwana hoja zao za kutunga uwongo uwongo eti msigwa nae alikuwa mchungaji duh makanisa yetu wameingiliwa Mimi sasa siwaamini wachungaji Wa kilutheeri ht mapdri silaa kaharibia
 
Hujui kama huo ni mpango wa Kinana ili kesi ifutwe, amempigia magoti Msigwa kwa kuwa Kindovu hana pa kutokea, lakini ujumbe umefika

Kwa hiyo huu ni mpango wa Kinana ili kesi ifutwe, basi na Msigwa naye akaamua kuweka pingamizi ili kesi ifutwe!

Huyu Msigwa mwenye ushahidi na anapigania maslahi ya Taifa anaenda kumsaidia 'jangili' kufuta kesi mahakamani kwa sababu amepigiwa magoti. Huoni kuwa hii ni rushwa!. Hii ni mpya kwa wapigania ukombozi wa CHADEMA.

Hata hivyo sishangai sana kwa sababu hata Mbowe alikuwa anapiga kelele mchana kwenye majukwaa ya siasa kuwa Rostam Aziz ni fisadi lakini ikifika usiku anaenda kumuomba pesa.

Hawa ndiyo wakombozi ndani ya CHADEMA.
 
Unakosa hata hoja ya kujenga utetezi kuhusu main issue na siyo ujanja ujanja wa kisheria.

Watu wenye maono na fikra pana tumeishafahamu vizuri kuwa huyu Msigwa hana ushahidi na kama angekuwa nao kwa jinsi tunavyomfahamu, basi asingeomba hata kesi ifutwe kwa vile tu haikufunguliwa Iringa au Mwanza.

Hivi wewe unadhani sehemu ya kufungua kesi ni muhimu zaidi ya kuusena ushahidi anaodai anao na Watanzania wakafahamu kupitia muhimili wa utoaji haki kuwa Kinana anahusika na biashara ya uuzaji nyara za serikali.

Let's be honest and real.

Mkuu!
Usichanganye SHERIA na MAONI!Wewe ukiyo andika hapa ni maoni sio sheria inavyosema!

Sheria za kesi ya kashfa zipo wazi kabisa wapi zikafunguliwe kesi:(1) Sehemu ambapo tukio lilitokea(Mwanza) au makazi ya kudumu ya mtoa kashfa(Iringa)!

Kinana anataka kuivuta kesi hii hadi uchaguzi wa 2015 ili isiweze kuongelewa tena Mahakamani kwa ground kuwa shauri bado lipo kwenye kusikilizwa!

Bill of Lading ya meli ambazo Kinana ana hisa zitamaliza kesi hii!
 
Ndio upuuzi nisiotaka toka kwa Waandishi. Sasa hii nayo ni Habari???
 
Hiyo ndio sheria; wanaangalia dots na technicalities tu, haki ni kidogo sana na ndio maana wapo wafungwa waliohukumiwa bila hatia, na pia wapo wahalifu walioshinda kesi huku wakiwa na hatia!

Dots and technicalities za nini wakati Msigwa anao ushahidi!. Si angemwaga tu ushahidi na kuacha kujificha kwenye dots and technicalities ili kesi ifutwe kabla ya kusikilizwa.

Huyu hana ushahidi ndiyo maana anaangalia makosa ya kiufundi katika ku-file case na siyo ushahidi wala mashahidi.
 
Back
Top Bottom