Kinyungu
JF-Expert Member
- Apr 6, 2008
- 17,369
- 33,015
Wateule wa Magufuli walifanana naye kitabia. Na yeye aliwapenda upeo kama huyu Sabaya. Kama ya Sabaya yanakushangaza mbona ya Magufuli hayakushangazi?Hivi sabaya ilikuaje akaupata ukuu wa wilaya,naona mambo yake alikua anayafanya kishamba sana?