Bia yetu
JF-Expert Member
- Apr 14, 2020
- 6,923
- 8,314
Huyu Lissu asiitwe mahakamani kipindi hichi cha kampeni, Uchaguzi ukiisha ataleta visingizio hakupata muda wa kampeni ndio maana ameshindwa Uchaguzi.
Wamwache aende kila jimbo aropoke yote ili moyo wake upate amani. Baada ya kipigo Oktoba ndio arudi kwenye vimeo vyake.
Wamwache aende kila jimbo aropoke yote ili moyo wake upate amani. Baada ya kipigo Oktoba ndio arudi kwenye vimeo vyake.