Mwanakijiji sijui ndio huyu huyu Mag3..naona wameandika same story ya mahakama "almost at the same time"
Wanafiki utawajua tu..
kwi kwi kwi teh teh teh!
kwi kwi kwi teh teh teh!
​serikali legelege hukimbilia mahakamani ikikosa jibu
"aliyezowea vya kunyonga vya kuchinja haviwezi"
Mahakama zote zinagharamiwa na serikali pamoja na hao polisi, kwahio ule utaratibu wa kufanya kazi zake kwa uhuru haupo.
Hivyo basi majaji na mahakimu na wanasheria wa serikali bado wanaweza kuitwa kwa kikao cha dharura wakati wowote kusikiliza maagizo na mojawapo ni agizo la namna ya kudhibiti mgomo wa madaktari.
Hii inaeleweka duniani kote kwenye ukandamizaji na ni mpaka pale watu yawakute kama Hosni Mubarak aliposhangaa kwamba kumbe mahakama ileile ambayo ilikuwa ikifuata maagizo yake ilikuja kumhukumu akafie jela.
Hata CHADEMA wanalipwa na Serikali au ulikuwa hujui?
Pakuanzia? how so? in circumstancial evidence so far guilt points to the governmentUnachosema ni kweli kabisa....hofu yangu bado hatuna pakuanzia au ujasiri wakuleta hayo mabadiliko.
Unasemaje ile ya Kova kujikanganya mwenyewe? Amesema si busara kujadili suala ambalo lipo mahakamani wakati huo huo anasema mtuhumiwa ana kichaa cha muda kwa mudaUlitaka wakuletee wewe hizo hoja wanazoshindwa? Mahakama ziliwekwa za nini kama si kuchambuwa hoja kisheria?
Wacha ufataani mtoto wa kiume hupendezi.
Unasemaje ile ya Kova kujikanganya mwenyewe? Amesema si busara kujadili suala ambalo lipo mahakamani wakati huo huo anasema mtuhumiwa ana kichaa cha muda kwa muda
Hata polisi kuruta anafundishwa kwamba kipolisi mtuhumiwa anachukuliwa kama ni akili timamu mpaka ambapo upande wa utetezi utakavyothibitisha vinginevyo(presumption of sanity)
Mimi naona hapo DCP Kova anaingilia uhuru wa mahakama kama ya Kikwete kusema serikali haihusiki, na Chagonja kumkingia kifua Msangi