Mahakama Arusha yaizuia CDM kuwazomea madiwani

Hilo zuio linapingana na katiba ya nchi...

Na mahakama itahakikisha vipi amri yake inatekelezeka kama sio kuwatamanisha wananchi kuzidi kuwazomea hao wasaliti
 
Mfa maji haachi kutapatapa. Wadai vilevile hii inatukumbusha kuwa mahakama zetu zinatumiwa kuvuruga demokrasia makini kwa maslahi ya watawala wanaotaka watawale milele hata kama nchi imewashinda.
 
Tulisikia cd iliyomrekodi Mallah akimwaga pumba zake za kumhonga mkuu wa polisi na Mahakimu ili waweke hilo zuio. Na sisi tunafanya zuio la wao kutokuzomewa wakati kesi ya msingi ndiyo inafunguliwa
 
vyombo vya dola
vyombo vya habari(vilivyo vingi) ni magamba tu, so sioni ajabu kupoteza muda kujadili maswala ya cdm wakati hao madiwani hawajachaji simu zao.
 
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi ya Mkoa Arusha imetoa uamuzi mdogo wa zuio la muda dhidi ya mikutano ya Chadema kuwasema hadharani madiwani watano wa chama hicho waliotimuliwa.

Mahakama hiyo pia imesema hata kama Chadema itapata kibali cha kuhutubia kihakikishe suala la madiwani hao halizungumzwi wala kuzomewa, kuwatolea lugha chafu na za vitisho wakati huu ambao hapo kesi ya msingi imefunguliwa.

Source: HabariLeo

Practically speaking, utazuiaje watu kuzomea? Polisi watapita kila mahala wanapopita hawa madiwani ili wasizomewe? Kuzomea ni njia mojawapo ya mtu/watu kuonesha kutofurahishwa au kutokubaliana na jambo fulani kama ambavyo watu hushangilia wanapofurahia jambo. Sasa, ni kifungu gani katiba katiba yetu kinachokataza kuzomea au kushangilia for that matter? Huku si kuvunja haki za binadamu kwamba hawatakiwi kujieleza (kivitendo) kutokubaliana na mienendo ya madiwani hao?

Huyu hakimu naona anataka kudhalilisha huu mhimili wa dola!
 
a KWA HIYO WAMEWASIKILIZA MAGAMBA NA KWELI WAMEFUNGUA KESI. ZUZU MALLAH NA WENZIO MMECHEMSHA. MAWE MTAPIGWA SANA TU. KWANI LAZIMA MUWE NDANI NYA CDM? NENDENI HUKO WALIKOWAINGIZA MKENGE MKAGOMBEE. MKE UMEACHWA KIHALALI NA MUMEO NA HAKI ZAKO ZOTE UMELIPWA BADO WAMNG'ANG'ANIA MUME MAHAKAMANI. S$#INE.
 
Pia hakimu ametoa zuio la viongozi wa Chadema kushangiliwa hasa Lema maana kitendo hicho huwa kinawanyima raha kabisa madiwani waliofukuzwa ha ha..
 
Peoplesssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssss.........................Power...
 
Malengo ya madiwani husika ni kuwa wafungue kesi ya kupinga maamzi ya CC ya chadema ili ichukue mda mrefu kupatikana ufumbuzi mpaka kufika angalau 2014 hapo inamana kata husika hazitakuwa na maendeleo ili Lema na CHADEMA wasifurukute mwaka 2015 kwasababu hawatakuwa na cha kujivunia kwenye kata husika..CCM kwasasa adui yao ni mkubwa ni Lema hivyo wanajua wakimzoofisha hakuna wa kuwasumbua 2015 hivyo Malla, Bayo, Rehema, Charles na Mpinga ni vifaa vinavyotumika kumwangusha Lema na CHADEMA wasitekeleze ahadi zao...
 
Sasa kitakachofata ni kuwafata makwao maana wameona kuwazomea shida acha kuwafate huko makwao ndiyo watajua hatutaki ujinga wao...Malla,Bayo, Rehema,Charles, na Mpiga tuliwapenda lakini CCM imewapenda zaidi tuachieni chama chetu....
 
Ajabu kweli' hivi kama mume akimtosa mke wake mahakama inaweza kumlazimisha kubaki naye? Ili iweje? NYAMBAFU!
 
Malengo ya madiwani husika ni kuwa wafungue kesi ya kupinga maamzi ya CC ya chadema ili ichukue mda mrefu kupatikana ufumbuzi mpaka kufika angalau 2014 hapo inamana kata husika hazitakuwa na maendeleo ili Lema na CHADEMA wasifurukute mwaka 2015 kwasababu hawatakuwa na cha kujivunia kwenye kata husika..CCM kwasasa adui yao ni mkubwa ni Lema hivyo wanajua wakimzoofisha hakuna wa kuwasumbua 2015 hivyo Malla, Bayo, Rehema, Charles na Mpinga ni vifaa vinavyotumika kumwangusha Lema na CHADEMA wasitekeleze ahadi zao...
Wasifikiri wananchi wajinga kiasi hicho wanaona kila move tena wakifanya hivyo itakuwa rahisi sana kufanya kampeni, unajua uzuri wa kampeni ya upinzani ni kupata cha kulalamika kama huna cha kulalamika kampeni inakuwa ngumu sana kwa hili hata Dr Slaa ataniunga mkono, hao madiwani wa CHACCM wamebugi step walitakiwa hii move waifanye kimya kimya halafu wangeiibua mwaka unaosema 2014 wakati washaivuruga CDM Arusha sasa hawawezi tena.
 
sometimes unajiuliza hawa maakimu wengine ni nani hivi anayewapa uhakimu kwa maana wamefikia mahala mpaka ku control speech.
nani amekupa mamlaka ya kuzuia watu wasitoe maoni yao kwa kuwaambia nini wasizungumze na nini wazungumze ktk kutoa maoni yao ??
hakimu/polisi siku zote inapojiingiza ktk kuwaamulia watu kitu cha kuzungumza au kuwakataza watu kwa kusema maoni haya ni mabaya au haya ni mazuri inajiingiza ktk kazi ambayo hiko juu ya uwezo wao kwani maoni hayo yanaweza kuwa mabaya au mazuri kutegemea mtu na mtu hii ni sawa mahakama kutuchagulia mwanamke mwenye sura ya aina gani ni mzuri au mbaya??
Shule za kata at work
 
Haruna rais, hatuna mawaziri, hatuna serikali. Hii nchi ni f. up kabisa. Nauliza kwa nini kwanza waitwe madiwani? CDM inawaona hao ni watu tu wa kawaida kwani ilishawanyang'anya kadi. Kama wanan'gang'ania wao ni madiwani basi wanapokuwa katika vikao vya Baraza la Madiwani wataje wao wako humo kwa tiketi ya chama gani? Hawa watu ni wajinga kabisa kwenda mahakamani kwa kesi kama hii -- wanataka kitu gani? Ni bora tangu sasa mahakama zitangaze basi kwamba kama chama kinataka kumfukuza mnwanachama wake basi kiende mahakamani kufanikisha hilo -- yaani namna ya kufukuza kihalali ili kusiwepo migogoro. Shit!
Shule za kata at work
 
Back
Top Bottom