Japokuwa watu wengi uwadharau na kuwaweka daraja la chini sana dada zetu wa nyumbani,kwa kuwaona wachafu,washamba na watu wasio na thamani, kwangu mimi ni tofauti sana,kwani tangu nianze kujihusisha na mapenzi na wadada wa kazi nimekuwa niki enjoy sana tofauti na hawa masista duu,nikiri nimeshiriki mapenzi na wadada wengi kidogo,na kitu ambacho kimenivutia au kuni hamasisha kuwapenda ni hulka yao,wadada wengi ni wakarimu,wanajua kunyenyekea kitu ambacho napenda sana mwanamke awe nacho,afu hawanaga dharau,pengine hawana gharama sana(hii sina uhakika sana),wanajua kujituma.kila siku om nimekuwa niligombana na mama au dada zangu nikiwakuta wanawagombeza dada wa kazi mda mwingine uwa najifungia chumbani nalia mwenyewe,kwa kweli naumia sana mtu akiwanyanyasa hawa watu,hii ni kwa upande wangu kutokana na experience niliyopitia,inawezekana unaowajua wewe wasiwe na sifa kama zangu ila ndo ivo kwa mimi,house girls wanajua ku care pengine kuliko hata wamama wenye nyumba na ndio maana wanaume wengi hujihusisha na mapenzi na wadada hao though inaweza kuwa tamaa but wanaume tunapenda mwanamke atujali na kututunza kama watoto,utakuta mama anamwachia dada kazi zote hadi nguo za ndani za mume wake sasa apo usipinduliwe mchezo??,mimi nawapenda sana wadada wa kazi,sitaona tatizo kuja kuoa mmoja wao,maana dada zetu hawa wa samsung galaxy wana dharau,kujiona wapo juu na kila aina ya ivo vitu,so nawakubali sana dada wa nyumbani