Mahaba yangu na house girl...

Mahaba yangu na house girl...

hee! Best! Umepotelea wap jaman yan ckuoni kabsa kijiweni ,mis u 4! Haah!

::
Mi nipo sana,,ila leo nimeona umemwaga ma busara hapa Loo! Chezea Munkari weye!
=
 
h/girl ni binadamu kaama wengine usifikiri hawabadiki tabia unayoona/fanyiwa inaweza badilika wakati wowote
 
yan hapo kwenye harufu za marshi ya masister duu kumbe ni kuficha kasoro... hahaa. tena k zao huwa zime tepeta kwa kusuguliwa na watu tofauti...
 
::
Mi nipo sana,,ila leo nimeona umemwaga ma busara hapa Loo! Chezea Munkari weye!
=

haaa! Unajua leo wikend bana akili zmetulia nini no stress yan full busara ka mzee mwenye mvi vile!
 
Mbona wa2 flani povu jingi?asikuambie kitu HG watamu sana achana na hawa wa .com

Aaah aah aa watu wana majotrooo.. Dah I never thought ingefikia huku,aah aah..ukweli unaumaaa
 
Wewe naona hujawaza vizuri maisha yanavyobadilika. Ukioa huyo msaidizi wa kazi baada ya muda atajifungua, naye atahitaji msaidizi. Msaidizi atakuwa anafanya shughuli nyingi kushinda mama. Hapo unafikiri ni nini kitakuzuia kutompenda huyo msaidizi mpya?
 
Ebu jaribu kuchunguza kwa umakini idadi ya wanawake wanaoolewa kwa wingi hulka zao zilivyo,wenye tamaa na tabia chafu na kiburi wengi hawaolewagi na kama ikitokea kuolewa basi hawadumu kwenye ndoa kwa sababu ya tabia zao chafu,asikwambie mtu bwana wanaume tunapenda kuwa na mtu atakayetusikiliza na kutuheshimu na ndo tulivyo kama upo tofauti basi una matatizo maana hata kwenye biblia imeandikwa mwanamke atakuwa chini ya mwanaume na kama unakumbuka hawa alitolewa ubavuni mwa mwanaume ambaye ni adamu,na kutokana na hawa kula tunda la mti waliokatazwa ,kwa kuwa alimshawishi adamu hivyo,mungu akamwambia siku zote atakuwa chini ya mwanaume na mwanaume atakula kwa jasho lake,kasome biblia mwanzo kurasa sikumbuki,utapata historia ya binadamu,kama kuna mwanaume anayependa kuwa chini ya mwanamke basi nina wasi wasi na jinsia yako..
 
sijawahi lamba HG , ila sijasema hawafai kulambwa..... nao ni wanawake kama wanawake wengine.

mimi nitaendelea kukomaa tu na hawa magumegume wa iphone 5 na magalaxy
 
sijawahi lamba HG , ila sijasema hawafai kulambwa..... nao ni wanawake kama wanawake wengine.

mimi nitaendelea kukomaa tu na hawa magumegume wa iphone 5 na magalaxy

sio kwamba hawafai,ila ni pasua kichwa hawatulii hawa wana tamaa sana na maisha ambayo sio yao,binafsi sipendi kuwa na mwanamke pasua kichwa,what for??,kama kutomba nimewatomba sana wengi hawajui kitu kitandani zaidi ya kujua kujiremba na kujifanya classic kumbe hakuna lolote kitandani,hawa watoto wa vijijini ma beki tatu wanajua mambo bwana asikwambie mtu,ndo maana wamama wengi wanalalamika kuibiwa na mahouse girl wengine uamua kuwaoa kabisa ma house girl,jinsi walivyo watamu
 
Mi nadhani unajidanganya! Hiyo ni status na nafasi yake kwa wakati huo yaani 'housegirl' ndio maana lazima aplay part yake kama kutunza nyumba,usafi ,macare n.k,ni kama mwalimu awapo shuleni au mfanyakazi yoyote awapo kazini yaani KUWAJIBIKA! so na housegirl ndo hivyohvyo isitoshe anapewa MSHAHARA na ukizingatia wengi wanatoka vjijini ambapo kulala ktk godoro ni kwa zamu KWANINI ASIWE MNYENYEKEVU anapofika katka godoro la peke yake? Sema we wapenda kuwagegda sababu wanaona watakosa kibarua otherwise MCHUKUE MFANYE MKEO ndo utajua tofauti ya MKE na HOUSEGIRL mana status yake itakuwa imechange to mama mwenye nyumba afu ucheki sasa kama hayo macare,malove ma unyenyekevu yataendelea kuwepo eee! Do that!

Ma sista duu wengi hawajui kitu kitandani,zaidi ya kujiremba na kujifanya wa hadhi ya juu kumbe chumbani hakuna kitu,ndo maana utakuta mwanaume ana pesa zake chafu na mke wake mzuri tu anamuacha mke wake anamfuata housegirl ambaye hata kuoga hawajui,ulishawahi kukiuliza kwa nini??,tabia ya mtu ni tabia tu huwezi kuibadilisha dada
 
Duh umesema unajifungia ndani unalia kisa bek3 kagombezwa na mamako?u stil a young boy, oa bek3 kapange anza maisha naye kama mume na mke ndo uje utoe ushuhuda hapa,otherwise bado u mtoto wa mama, hujui hata kulipa kodi ya nyumba wala bil ya umeme
 
Kutokumpenda mtu / kukataa asiwe mwenza sababu tu ni house girl nadhani ni kumkosea haki..

Kumchezea mtu / kumuhadaa sababu tu ni inferior kwako kwa hali moja au nyingine ni kutokumtendea haki.., lakini kama lengo lako ni kumfanya mwenza hakuna shida and all the best, ila sio kwamba ukishampiga mimba unamfukuza wakati wewe ndio ulikuwa mwenye makosa

Ingekuwa bora kama ana mmoja ila kakiri keshawapitia mahougirl kibao ni mharibifu huyu.
 
Ma sista duu wengi hawajui kitu kitandani,zaidi ya kujiremba na kujifanya wa hadhi ya juu kumbe chumbani hakuna kitu,ndo maana utakuta mwanaume ana pesa zake chafu na mke wake mzuri tu anamuacha mke wake anamfuata housegirl ambaye hata kuoga hawajui,ulishawahi kukiuliza kwa nini??,tabia ya mtu ni tabia tu huwezi kuibadilisha dada

habari za chumbani umezijulia wapi wewe wakati unaishi kwa BAba na mama na aliekuhakikishia hayo ya chumbani kuwa unajua ni nani..... UNAONEKANA WEWW NI MUHUN KULIKO UNAOWAPONDEA
 
Back
Top Bottom