johnsonmgaya
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 2,818
- 3,731
Haswaa upate aliyekulia hukohuko kama ndo mchepuko bas utaoa mke wa piliTanga noma.
Ujaelewa lakini umeona?Sijaelewa mkuu
Hahahha kwasabb ya rangi???Za dawa hizo siyo mahaba!
Ndugu yangu ila hapa sio Tanga wala Tanzania, vijana wa kitanga wako soft kisha wanang'aa
Itakuwa ni kule kwa kina,,,,,,,,,,,, .,,, ndukiNdugu yangu ila hapa sio Tanga wala Tanzania, vijana wa kitanga wako soft kisha wanang'aa

Hahhahaha ndugu mshana jr hapo jamaa anapigika kazini alisahau kama mke alimvisha jana usiku.Ndugu yangu ila hapa sio Tanga wala Tanzania, vijana wa kitanga wako soft kisha wanang'aa
Unapokimbilia ndo alipo muhusika shauri yakoItakuwa ni kule kwa kina,,,,,,,,,,,, .,,, nduki![]()
![]()
Hujui raha ya shanga ww siyo kila pete ya kijani ni ya bahati zingine urembo tu..wanasemaga Tanga nyumba mganga nyumba mngese sasa naanza kuamini



Yapi kwahyo lafudhi tu umeprove your origin..watoto wa tanga hatujalomaa hivyo japo twazivaa hizo mara moja moja si unajuaa twatoka mapenzi yalipozaliwa lazima tujiongeze haswa maswala muhimu ya chumbani hamna shida mume kuvaa kufuli la mkewe yote hayo ni mahaba tu
Hujui raha ya shanga ww siyo kila pete ya kijani ni ya bahati zingine urembo tu..![]()
Bibie fanya upate kamchepuko ka kutoka tanga hutojutaMpk wanaume wanavaa Shanga? Kweli tanga raha.