mankachara
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 6,161
- 3,495
ayo ni mahaba kitandani au nje ya kitanda
Umeshapata kibarua ndugu!!hukiwa tu na hera wanajaxan xan tu, kutongosa ya kaz gan
xijapat nixaidiheUmeshapata kibarua ndugu!!
Kutongoza hakuna formula na hakuhitaji darasa,Wadau leo naomba tujadili mambo ya mahaba, kiukweli leo mimi nataka tuwekane sawa. Kwanini wanaume sikuiz hawajui kutongoza? Unalikuta limwanaume domo zito hata haliwezi kujieleza, yaani nyinyi wakaka xm zinawasaidia sana wengi wenu kutongoza hamjui. Napendekeza elimu ya mahusiano ingekua inafundishwa mashuleni vijana hamjui kutongoza.
Wadau leo naomba tujadili mambo ya mahaba, kiukweli leo mimi nataka tuwekane sawa. Kwanini wanaume sikuiz hawajui kutongoza? Unalikuta limwanaume domo zito hata haliwezi kujieleza, yaani nyinyi wakaka xm zinawasaidia sana wengi wenu kutongoza hamjui. Napendekeza elimu ya mahusiano ingekua inafundishwa mashuleni vijana hamjui kutongoza.