mchuziwapweza
Senior Member
- Aug 19, 2018
- 107
- 149
Wadau leo naomba tujadili mambo ya mahaba, kiukweli leo mimi nataka tuwekane sawa. Kwanini wanaume sikuiz hawajui kutongoza? Unalikuta limwanaume domo zito hata haliwezi kujieleza, yaani nyinyi wakaka xm zinawasaidia sana wengi wenu kutongoza hamjui. Napendekeza elimu ya mahusiano ingekua inafundishwa mashuleni vijana hamjui kutongoza.

