Mh. Dr. Magufuli itakuwa amepumzika mahali tu. Lazima awe na fatigue kwa sababu wanamponza sana Mheshimiwa kwa kumwambia ongea masaa mengi kumkebehi anaeongea dakika 15, piga push up na viringisha mikono kuonesha kuwa mabadiliko hayawezi kuja hata uviringishe lisaa.
Wajifunze kutomchosha mgombea, kuongea tu ni kazi kubwa sana uchanganye na safari ya kusafiri kila siku.
"Hata kwa tunguli haiwezekani kutangua alichokipanga Mwenyenzi Mungu"